Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,394
Hii taarifa ni fake, haiitaji akili kubwa kutambua.
Taarifa ipi fake boss? Maana maelezo ya post namba moja ni kweli mwenyekiti wa ccm kayasema leo.
Hii taarifa ni fake, haiitaji akili kubwa kutambua.
Hii itakuwa fakeView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Tumerudi rasmi kwenye uongozi wa kichifuKashasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia jinsi alivyoamka siku hiyo.
Yani si kuangalia katiba, si miongozo, si taratibu, si tamaduni, bali kuangalia anavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Binafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.
Wenyeji hawajaisha nao wahame wanang'ang'ania na kulilia liChama mfu kwa niñi? Wao pia Wana haki ya kuhama Chama kama wanaona kinapendelea wa kuja na kuwabagua lakini kama mnashindwa kushinda hukohuko basi hata mtakakohamia mtashindwa na kuanza kulalamà. Bahati mbaya sana wanachama wote wa CCM wanaona Chama hicho ndo Alpha na Omega katika maisha yao. Chama hicho kimepitwa na wakati hadi viongozi wake wanapita majalalani kuokoteza PhD waonekane wamesoma kumbe ni darasa la nne.Wenyeji kwisha habari yao...
Kosa ni kwamba hakuna mfumo unaoeleweka.Binafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.
Kwa hiyo unashabikia CCM kwa sababu unapiga hela. Basi mtakuwa wengi wenye mtazamo huo.Sina njaa nimezaliwa ndani ya mfumo mpaka sasa napiga hela za ndani ya mfumo.na wazazi wangu wakistaafu wanalipwa hela za ndani tena mapema sana.
Kwa hiyo waliopo chamani wazuiwe kugombea au kutia nia kwa sababu aliyekuwa mpinzani alikuwa anashikilia jimbo hilo.Binafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.
Shukrani mkuu taarifa ilikuwa haina nyama kabla.Taarifa ipi fake boss? Maana maelezo ya post namba moja ni kweli mwenyekiti wa ccm kayasema leo.
Hovyo kabisa,lengo Ni kuua upinzani mkimaliza hilo sijui mtaanza na lipiView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Azungumzie hii fake??View attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Kwahiyo wanapewa majimbo bila kura za maoni! Ngoja wagawanyike wapigwe chiniView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
AiseeeeView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
This is the real conclusion!Inamaana hiyo ni hatua ya awali, kitakachofuata ni kuhakikisha mpinzani hapiti.
unajifariji, siyo fake ni kweli! Mnajua kabisa kuwa hawatapita kura za maoni na wakipita mkawakata mtagawa kura nyingi kama siyo "zote" a kwa wapinzani, hivyo mnaamua kupiga juu kwa juu! johnthebaptistAzungumzie hii fake??
Wapi nimeandika napiga hela za CCM?Kwa hiyo unashabikia CCM kwa sababu unapiga hela. Basi mtakuwa wengi wenye mtazamo huo.
Rais Magufuli akijibu swali la Sojo"
Kwani mwanamke au mme wako akikosea, siku nyingine akaja kukuomba msamaha kwani utakataa? Siyo ajabu akaja na mapenzi mazuri mazuri kuliko ya zamani amejifunza huko mbinu nyingi na mbadala, Sasa unakataa uhondo huo? Rais amemaliza kwa kusema CCM oyeee