johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Hakunaga Rais duniani anayependa kutengua na kuteua mara kwa mara lakini hali hii hujitokeza pale idadi ya wasomi wenye Sifa wanapokuwa Wachache
Kwa mfano hapa Tanzania Vijana Wengi wa CCM ni Wasanii Ndio hawa akina Zembwela, Steve Nyerere, Ayo, Kokoo, Joti, Wema nk nk ambao kiukweli hawateuliki na ukilazimisha utakuwa unawatengua kila siku
Ni Heri sasa Uteuzi usiangalie Itikadi kwa mfano John Pambalu au Abdul Nondo wateuliwe tu bila kuhamia CCM Ili wakaisaidie Serikali
Ramadan Kareem 😄
Kwa mfano hapa Tanzania Vijana Wengi wa CCM ni Wasanii Ndio hawa akina Zembwela, Steve Nyerere, Ayo, Kokoo, Joti, Wema nk nk ambao kiukweli hawateuliki na ukilazimisha utakuwa unawatengua kila siku
Ni Heri sasa Uteuzi usiangalie Itikadi kwa mfano John Pambalu au Abdul Nondo wateuliwe tu bila kuhamia CCM Ili wakaisaidie Serikali
Ramadan Kareem 😄