Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,374
- 81,821
Aisee! Pole sana. Ahueni nilienda kwenye maduka ya mitandao husika. Wale vijana wanaozunguka mitaani, inahitaji uwe jasiri sana kuwaamini.
Wengi ni wahuni na wajanja wajanja sana. Wanachulia zoezi hilo kama fursa kwao ya kujipatia fedha kinyume na utaratibu.
Wengi ni wahuni na wajanja wajanja sana. Wanachulia zoezi hilo kama fursa kwao ya kujipatia fedha kinyume na utaratibu.