Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,305
Ndugu protini unataka watu wafe kwa presha?Tunaomba Rais ahamasishe watu kupima HIV kwa mfano huu.
Ndugu protini unataka watu wafe kwa presha?Tunaomba Rais ahamasishe watu kupima HIV kwa mfano huu.
Wakujibu we nani..? Kwani rais ni robot..?Hivi hicho ki daraja cha kwenye mtaro wanakompitisha mara paap kimekatika rais wetu kipenzi ateguke mguu hao walinzi wake watatujibuni nani aliwaambia wampitishe hapo.
Akafu kidaraja vhenyewe kimeshakatika nusu
Hahahah..! I love TanzaniaSubirini vituko siku yakuzimwa..zitazimwa hata zilizosajiliwa....subirini
Imagine !!!!!!!Kumbe rais naye ni mzee wa deadline?? Alikuwa wap siku zote?? Ila hicho ni kiinimacho tu, rais hawez kusajili line mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me hadi nifungiwe ndo taamini nikasajili sijawahi amini wanasiasa asilaniMentality ya wabongo, watarelax kisha tarehe 16 ndio wataanza kujazana tena.
Good for you...Me hadi nifungiwe ndo taamini nikasajili sijawahi amini wanasiasa asilani
Kama na hapa ulichanganywa basi unachanganyika kirahisi sana.Mzee anatuchanganya kidogo...hapo nyuma yeye alisema line hazitafungiwa mpaka wananchi wote wapate vitambulisho vya NIDA..ameona siku zimekaribia kuisha ameenda kusajili...kisha kaongezea siku ishirini za kusajili...whether una kitambulisho au hauna...whether kuna foleni kubwa na usumbufu NIDA au la....tatizo limetengenezwa tena...na litatatuliwa kwa muundo wa kutengeneza tatizo jingine..
...One has a problem for every solution...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu. Maana sidhani kama amejiridhisha na sababu zinazowakwamisha hao wasiosajili.Bado hazitoshi..
Jr
Inaezekana nyumban hakujanoga kiivo!Kumbe rais naye Airtel! Maskini TTCL!
nyoka hana tako