kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Kuna mkuu wa mgambo na mshauri wa mgambo ni vitu viwili tofauti! Wengi wa washauri wa mgambo ni wanajeshi wastaafu kama maColonelKama hujui kila mkoa una afisa jeshi kama mshauri wa Mgambo wa mkoa.