Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

JKT linaongozwa na Brigadia General? Sio Major General?
Hata Isamuyo aliteuliwa kuwa mkuu wa JKT akiwa brigadier general akapandishwa cheo baadaye

Ni wazi kwamba atapandishwa cheo kwasababu hakuna kamandi inayoongozwa na brigadier general.
 
Kambi za Jeshi la Akiba la Mgambo zipo wapi kwa hapa Dar es Salaam? Nataka nikamsalimie mkuu wa jeshi Hilo adhimu
. Kwa tuliokulia Dar miaka ya 90 tunajua namna jeshi hili lilivyokuwa likitamba hapo Msimbazi na Uhuru wakati huo kukiwa na "round about" 😄
 
Duuh kutoka mkuu wa JKT mpaka mkuu wa migambo hii ni hatari aisee, itakuwa amefanya kosa kubwa sana
Mbona Hakuna "Demotion" hapo! CMG ni nafasi kubwa tu katika kamandi ya Kijeshi. Anabakia kuwa miongoni mwa ma "Chief" na wa JWTZ. Si kila mabadiliko ni kwamba sababu ya kuvurunda, hapana. Inawezekana Rais ameona aliyekuwa "Chief" wa National Service (CNS) angeweza kutumika vizuri zaidi kama CMG na huyu mpya kama CNS.
 
Mbona Hakuna "Demotion" hapo! CMG ni nafasi kubwa tu katika kamandi ya Kijeshi. Anabakia kuwa miongoni mwa ma "Chief" na wa JWTZ. Si kila mabadiliko ni kwamba sababu ya kuvurunda, hapana. Inawezekana Rais ameona aliyekuwa "Chief" wa National Service (CNS) angeweza kutumika vizuri zaidi kama CMG na huyu mpya kama CNS.
Sawa mkuu nashukuru kwa ufafanuzi
 
Naona kuna ukweli kwenye hili mkuu , majina ya vijana wa ajira mengi siyo ya wale waliojenga ukuta
Kuto wasimamia waliojenga ukuta wa mereran kuajiri na kupewa ajira vijana wengine na waliojenga ukuta kuludishwa nyumbani.
 
Kumbuka aliyekuwa Inspector General wa Police miaka 90 Mahundi aliteuliwa kuwa IGP kutoka RPC Arusha na cheo cha SSP wakati kulikuwa na makamishna wakubwa makao makuu ya jeshi hilo. Kuteuliwa kwa mtu ni kutokana na utendaji wake mzuri
Hongera kutukumbusha...hata jaji nyalali(km nakumbuka vema) pia alikua so juniour kwa wenzake na hakuamini alipoteuliwa mpaka kwenda kumuuliza rais alihis hastahili na kuna wengine wamekuwa sinior kwake why yeye?
 
Back
Top Bottom