mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 483
Hayo aliyokuwa akilalamikia DJT baada ya kubwagwa ni nini? Au alikuwa akicheza "sengeli" ya ki US? Nendeni nanyi Kisutu makpinge matokeo, kwani wagombea wa Ubunge hakuna walioshindwa ili waende Kisutu!? Mnang'ang'ania za Urais ambazo hata Bob kesha zikatia tamaa - 84% wewe unadhani ni USHINDI wa mchezo?!Huko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Na huko tunaona wenzetu wana haki ya kwenda mahakamani kupinga matokeo.