Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

NOTE: Mada mbalimbali zitajadiliwa kwenye mkutano huo lakini moja ya mada ambayo inatarajiwa kuwa na msisimko ni ile itakayozungumzia wimbi la Wakimbizi na Wahamiaji duniani. Kwa mujibu wa tovuti ya Umoja wa Mataifa, hii ni mara ya kwanza Mkutano Mkuu wa UN kukutanisha wakuu wa nchi kujadili suala hilo.

Pamoja na hilo la Wakimbizi na Wahamiaji, pia kutakuwa na kikao muhimu sana ambacho kitachukua takribani 70% ya mkutano wote kutokana na umuhimu wake. Huu ni mdahalo unaolenga kuzungumzia malengo ya maendeleo endelevu na nafasi yetu katika kusukuma mabadiliko ya kufikia malengo hayo.

United Nations

Mada zinatugusa watanzania, Tumekuwa wahanga wa kupokea wakimbimzi kutoka nchi jirani,Ni bora angeenda kulisema kuwa msaada unaotolewa aukidhi na uhalibifu wa mazingira
 
Mikutano yenyewe changa la macho tuu, sanasana wamarekani wanwaitaga viongozi wengine kwenda kuwalecture mautumbo yao, hata ukiwapa ushauri hawatakusikiliza anyways, who are you????
 
Wewe Chige wacha sifa za kijinga, kwani lini alikuwa amepanga kwamba ataenda kwenye huo mkutano mpaka "avunje?" Hii mbona ilikuwa inajulikana tangu mapema kwamba hataenda?!! Tetemeko lisitumike kisiasa, kwani mkuu wa mkoa hatoshi kupokea hiyo misaada? Waziri mkuu hatoshi kuratibu hayo matokeo ya tetemeko? Tuache siasa bali tuwe wakweli kwamba hatuwezi kukaa na wazungu saa 10, matokeo yake tutakuwa mabubu!! Atume mwakilishi (makamu anatosha aende tu) maana tulishaliwa hapa!! Hiiiiiii Lubuva huyu!!
Mkuu polepole usijeambiwa wewe ni mchochezi.
 
Sio kweli kabisa tetemeko linatumika kama sababu tuu

Kwanza alisema tetemeko siyo serikali, siyo kila kitu inyoshewe mikono serikali wakati alipashwa kujua tofauti ya serikali za ujima na serikali za kileo.

Serikali ilipashwa kujua kutakuwa na tetemeko kubwa na kuwapa taarifa Wananchi juu ya ujio wa tetemeko lile na nini wanapashwa kufanya.

Hivi huyu mtu anaweza kweli kuwa kiongozi? Tz itakaa miaka yote bila kuwa na kiongozi?
Kwa nini anaogopa kusafiri?
Hii serikali ni mali yake peke yake hata kama ni hayo matetemeko kwamba akiondoka yatakuja mengi zaidi?

Ninaomba niambiwe physical involvement yake kwenye suala la matetemeko haya na kama ndiye mtaalamu wa hiyo shughulil kwamba asipokuwepo haitafanyika.

Kwa nini lakini ccm inalifanya taifa letu la mapumbavuhivi?
 
NOTE: Mada mbalimbali zitajadiliwa kwenye mkutano huo lakini moja ya mada ambayo inatarajiwa kuwa na msisimko ni ile itakayozungumzia wimbi la Wakimbizi na Wahamiaji duniani. Kwa mujibu wa tovuti ya Umoja wa Mataifa, hii ni mara ya kwanza Mkutano Mkuu wa UN kukutanisha wakuu wa nchi kujadili suala hilo.

Pamoja na hilo la Wakimbizi na Wahamiaji, pia kutakuwa na kikao muhimu sana ambacho kitachukua takribani 70% ya mkutano wote kutokana na umuhimu wake. Huu ni mdahalo unaolenga kuzungumzia malengo ya maendeleo endelevu na nafasi yetu katika kusukuma mabadiliko ya kufikia malengo hayo.

United Nations

Mada zinatugusa watanzania, Tumekuwa wahanga wa kupokea wakimbimzi kutoka nchi jirani,Ni bora angeenda kulisema kuwa msaada unaotolewa aukidhi na uhalibifu wa mazingira

Hapana mkuu,

Wazungumzaji wakubwa kwenye mkutano huo watakuwa ni nchi za Ulaya zile zilizoathirika sana na suala la wakimbizi.

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May atahutubia mkutano huo na kupendekeza "first safe country policy" ambapo mhamiaji atashughulikiwa kwanza kila kitu pale anapotua.

Pili , atatetea haki ya Uingereza kulinda mipaka yake dhidi ya Wahamiaji haramu, yaani wale wahamiaji wa kiuchumi.

Yaani : tarehe 19 ni ajenda ya Refugee and Migrants.

Na tarehe 20-26 ni kuhusu Sustainable development goals- Universial push to transform our world.

That's it hakuna jingine, baada ya hapo ingekuwa ni shopping spree na matanuzi mengine labda kuwaona akina nanihii kule DMV.

Tanzania haina ajenda yoyote muhimu ya kuzungumzia na hivyo anaweza kwenda mwakilishi.

Sisi tupige kazi tu tumsaidie raisi wetu mpendwa tuijenge Tanzania yenye utapiamlo wa maarifa na maendeleo.
 
Hii ndo awau ya kijima kuliko awamu zote Tanzania! ushamba umekuwa mwingi mno, ni mwendo wa kujifungia ndani tu
 
IFIKE MAHALI WATANZANIA TUACHE HUU UPAMBAVU PAMOJA NA UNAFIKI! Inafika mahali unashindwa kuelewa kama kuna watu wamepata ajira ya kutumia JF kwa kuwakilisha mawazo potofu ya vikundi fulani. Ni aibu KUBWA kwa sisi Watanzania ambao huu UJINGA NA UHUNI hatukuwa nao wala haukuwa katika malezi YETU kama watanzania.
Inakauwaje mtu anaanza kumuandama MHS Rais hapa JF na sababu za kijinga kama hizi? Hebu tujiulize haya:
1. Kwani ni lazima Mhs Rais aende kwenye ule mkutano? Jibu ni kuwa si lazima! Sasa wewe au nyie mnawashwa NINI? Tatizo deal zenu za kisanii zimekosa milango ndo maana mnatoa mawazo ya kijinga kama haya.
2. Mhs Rais tumemchagua sisi, na wala si nyie tu hicho kikundi cha KIJINGA. Koma kabisa kutumia JF kama sehemu ya kutoa mawazo HASI kwa watu ambao wamechaguliwa na asilimia kubwa ya watanzania na si nyie hicho kikundi kidogo.
3. Kumbuka kuwa hata mfanye NINI he is here to STAY na ataendelea kusafisha site ili nyumba itakayojengwa iwe imara kwa vizazi vingi vijavyo.
4. Kwa wale ambao wana itikadi zingine mbali na za Mhs Rais, tueleze mnataka kufanya NINI? Kulea UOZO ili deal na missions zenu ziendelee? Hizo ndizo agenda za kuleta maendeleo ENDELEVU? Au tueleze kama mngekuwa serikalini mngelifanya NINI kwanza? Fanya hata the so called political dev simulation tuone mngelifanya nini pamoja na predictions zenu? Acha kabisa mawazo ya kijinga jaribu kuongea vitu vyenye tija kwa watu wetu na taifa lao.
5. IKUMBUKWE nchi ilikuwa IMEOZA na MHS Rais anafanya vizuri. Na hata nyie mkiendeleza mbinu zenu za kutaka kumkatisha TAMAA na kutuchanganya sisi tulio mchagua basi MNAJIDANGANYA kabisa. Tuko na yeye na matundu yanukuja ingawa si leo lkn yatakuja.

Hongera Mhs Rais wetu kipenzi na usikatishwe tamaa na hiki kikundi kidogo cha kIHUNI tu. TOGETHER AHEAD. MUNGU ibariki Tanzania na watu wake.
Mh Hakwenda Zambia ili ashughlikie mafuriko ila cha ajabu ameshindwa hata kwenda kuwafariji wahanga badala yake anawaambia wafanye kazi tetemeko halijaletwa na serikali. Sasa kama tetemeko hajalileta yeye kinachomzuia kwenda UN ni nini.? ushirikiano wa kimataifa ni muhimu asee asikwambie mtu, kujifungia ndani mwaka mzima sio issue.
 
Uskoleze na ww
Nilikuwa nampa tahadhari member mwenzangu, kwani kwa sasa nchini TZ "Uchochezi" ni neno au maneno yoyote yenye lengo la kuikosoa ofisi ya rais au rais mwenyewe. Haitahesabika kama uchochezi endapo tu Mtanzania atatamka au kuandika neno lolote ambalo litaisifia ofisi ya Rais au Rais mwenyewe. Mwisho wa kunukuu
 
Back
Top Bottom