Hivi we unadhani kazi kubwa inayompeleka Rais ni hotuba ya dk.5? Pale Rais anakutana na marais karibu wote duniani. Kuna maongezinya kibiashara yanafanyika pale ambayo yangeisaidia tanzania. Na ni maongezi ambayo Rais pekee anaweza kufanya...sio waziri mkuu au makamu wa rais.Aliyekuwa anaenda bila kukosa mahudhurio mlimuita Vasco Dagama. Anayebana matumizi....mnamponda humu. WaTanzania tunataka nini?
By the way UN New York.....ni kitu gani kipya anahitaji kwenda kufanya? maana maximum time ya kuongea kwa kila Kiongozi ni dakika tano! Na mara nyingi kumbi zinakuwa empty! wakubwa wameshaondoka.
WATANZANIA tuamke...Tanzania ya Magufuli ni ukurasa mwingine. You either adapt or perish!
Mkuu unajua for 20 years (BM+JK) marais wetu wamekua former foreign ministers. Kwahiyo nyota yetu kimataifa ilipanda sana. Sasa huyo jamaa anatishia kuisigina kazi ya miaka 20 kwa miaka mitano tu.Always too much is harmful!!!
What's the main reason to divert from many international meetings and forums from time to time????
Kama English ndo tatizo aende na wakalimani jamani
Haaaaaaa aibu hiii sasa wazalendo
Sio wote wanaokwenda huko wanajua au wanatumia Kiingereza. Ni akili zako za kitumwa ndio zinakufanya ufikirie hivyo.
Kwani tunajenga uchumi kisiwa? Dunia hii ya karne ya 21 bado unadhani unaweza kuignore mataifa mengine halafu ukajenga uchumi imara? Naanza kuamini lowassa hakukosea vile vipaumbele vyake vitatu.Yupo sahihi sana. Hatuhitaji kujulikana international. Tunahitaji kujenga uchumi wa nchi yetu.
Hizo tano kuongea ndo shidaAliyekuwa anaenda bila kukosa mahudhurio mlimuita Vasco Dagama. Anayebana matumizi....mnamponda humu. WaTanzania tunataka nini?
By the way UN New York.....ni kitu gani kipya anahitaji kwenda kufanya? maana maximum time ya kuongea kwa kila Kiongozi ni dakika tano! Na mara nyingi kumbi zinakuwa empty! wakubwa wameshaondoka.
WATANZANIA tuamke...Tanzania ya Magufuli ni ukurasa mwingine. You either adapt or perish!
Alishasema wahanga wa tetemeko wasibweteke kuisubiri serikali wachape kazi,sasa hii tena kitu gani? Eee Mungu baba uliye juu mbinguni Tafadhali uitazame nchi yako Tanzania kwa jicho la huruma na watu wake wote kwa kuwa wewe ndiye mwenye mamlaka,usituache tukaangamia katikati ya simba na wanyama pori hatari bali utukumbuke katika ufalme wako Amina.Sio kweli kabisa tetemeko linatumika kama sababu tuu
Teh teh teh teh..mysteries at the museum.Hizi comments wanazopost hawa member wa JF, zingekuwa za watsapp au usokitabu......! Mambo mawili yangetokea 1) Jela zingejaa au 2) mapato yatokanayo na malipo ya faini yangeongezeka.
Unanionea...Wewe Chige wacha sifa za kijinga, kwani lini alikuwa amepanga kwamba ataenda kwenye huo mkutano mpaka "avunje?" Hii mbona ilikuwa inajulikana tangu mapema kwamba hataenda?!! Tetemeko lisitumike kisiasa, kwani mkuu wa mkoa hatoshi kupokea hiyo misaada? Waziri mkuu hatoshi kuratibu hayo matokeo ya tetemeko? Tuache siasa bali tuwe wakweli kwamba hatuwezi kukaa na wazungu saa 10, matokeo yake tutakuwa mabubu!! Atume mwakilishi (makamu anatosha aende tu) maana tulishaliwa hapa!! Hiiiiiii Lubuva huyu!!
SASA MSHANA WEWE ULITAKA SABABU IWE NINI?Sio kweli kabisa tetemeko linatumika kama sababu tuu
Ha ha ha haaaa Nisamehe kiongozi wangu! Ila ukweli jamaa haikuwa lengo lake wewe ndo umechapia kusema "amevunja"Unanionea...
Unamaana marais wote hapa duniani wanapohojiwa hutakiwa waongee Kiingereza, mbona unakuwa mshamba kiasi hiki?Mshamba wa kitu gani ili nikujibu kama ni kweli ama sio kweli?