swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Umemaliza kabisa mkuu hilo ndio jibu sahihiUongo mwingine banaaa! Dah! Kwanini wasiwe wakweli tu na kusema kwamba Rais bado yuko katika zoezi kali la kuongea kiingereza na walimu wake bado hawajaridhika na kiwango chake cha kuzungumza lugha hiyo. Hivyo Hatakwenda kuhudhuria mkutano huo na walimu wanaendelea kumpa mazoezi ya kila siku ili aweze kukimudu kiingereza.
Watanzania tumechoka kudanganywa eti anashughulikia maafa ya tetemeko la ardhi wakati ni siku ya 10 sasa hata mguu hajatia Kagera!