Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

There's something behind the scene.....inawezekana anga sio salama kwake
 
Heee Zambia alikacha kwangu kuna maafa ya tetemeko,un amekacha kuna ttemeko hivi hil ttemeko imekua shida kwa tz au? Morogoro watu walipata maafa mafuriko mpk Leo hatujui nini kinaendelea kwa waathirika,.mhh kweli nchi ya kagera mana hatupumui sasa
 
Ha ha ha haaaa Nisamehe kiongozi wangu! Ila ukweli jamaa haikuwa lengo lake wewe ndo umechapia kusema "amevunja"
Mkuu unaendelea kunionea kwa kusema nimechapia wakati hata hiyo amevunja yenyewe ni "amevunja" na sio amevunja!!
 
Heee Zambia alikacha kwangu kuna maafa ya tetemeko,un amekacha kuna ttemeko hivi hil ttemeko imekua shida kwa tz au? Morogoro watu walipata maafa mafuriko mpk Leo hatujui nini kinaendelea kwa waathirika,.mhh kweli nchi ya kagera mana hatupumui sasa
Mimi kama mleta mada nikiulizwa "wewe si ndo uliandika amekacha, hujui huo ni uchochezi?" Mi nitajibu "aku! Mi sijasema alikacha ila nilisema "amevunja!"
 
Kule UN akuna vijembe akuna vitisho lazima uwe mpole wanatumia lugha iliyokuja na meli
 
Kwa sasa hivi Raisi ana shughuli nyingi zakuziweka sawa ndani ya nchi , mambo ya nje hata waziri wa mambo ya nje anaweza kumwakilisha au Makamu wa Raisi au Waziri mkuu . Raisi wa Botswana hasafiri safiri nje ya nchi na kutosafiri Huko hakuathiri maendeleo ya nchi. Na zaidi ya hapo kutohudhuria, hakufuti I wanachama wetu au kudhuru hali yetu ya kisiasa duniani. Na ikibidi wanatufuata tukasaidie Congo ,Burundi etc etc
 
Uongo mwingine banaaa! Dah! Kwanini wasiwe wakweli tu na kusema kwamba Rais bado yuko katika zoezi kali la kuongea kiingereza na walimu wake bado hawajaridhika na kiwango chake cha kuzungumza lugha hiyo. Hivyo Hatakwenda kuhudhuria mkutano huo na walimu wanaendelea kumpa mazoezi ya kila siku ili aweze kukimudu kiingereza.

Watanzania tumechoka kudanganywa eti anashughulikia maafa ya tetemeko la ardhi wakati ni siku ya 10 sasa hata mguu hajatia Kagera!
 
Nadhani viongozi wengi wangependa kuonana na Nyota hii ya Tanzania....... Record yake ipo Juu.... Viongozi wakuu wa dunia wanatambua nini anafanya katika Taifa lake na ni jambo zuri tu.
Mkuu haya maneno yako ni zaidi ya kuongeza chumvi basi ni vyema angeenda tu, ili akaonane nao sijui ni maraisi gani hao??
 
Kama muhimu kwenda rais basi Shein anatosha kutuwakilisha. Amwambie Shein tu aende na atasoma hotuba yake.
 
Ni nyinyi kweli leo hii mnamlazimisha rais asafiri nje? Magufuli anawaumbua sasa. Si mlikuwa mnamlaumu Kikwete na kumuita Vasco Da Gama?
Mimi niko nacheka tu hapa maana si kwa povu hili, nikikumbuka kipindi cha kikwete na hizi comment naona kikwete alikuwa mvumilivu mno kuongoza hiki kizazi cha nyoka.
 
Huyu ndiye watanzania walimsubilia tangu aondoke baba wa taifa hili tehetehe....Endelea kujifungia ndani mtukufu ukisoma report ya maafa ya tetemeko utaletewa report ofisini juu y walichojadili,,hii ndo hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom