Thanks Mkuu,
Link hii hapa:
Sustainable development goals - United Nations.
Lakini hebu niambie katika hizo SDGs........ni Goal ipi haihitaji pesa? and who will pay for it? UN is simply a conduit. But member states must provide money. By the way umesahau kitu sasa hivi Brettonwoods FIs ndo zinatoa pesa kwa ajili ya hizi issues tunazoongelea.....refer Ebola crisis, Iraq Humanitarian crisis, Syria nk......SDGs is simply a push by the UN and developing countries to attract focus on these neglected issues ambazo otherwise no one would be looking at. Ofcourse you achieve this consensus through UNGA. But in reality we need money. from where? I don't know.
Mkuu kama nilivyokwambia mimi ni mdau. Angalia humanitarian appeals zote.....naongelea CAR-out of more than 500M USD walipata less than 12%, S.Sudan, Syria, Iraq, Yemen, Afghanistan etc....check how much they got? Na oanisha na hizi SDGs. Ulizia how much was pledged in London na leo zimepatikana ngapi....
By the way zile pledge za jana kwenye ile conference ya Obama, some countries simply recycled what they said/pledged in London!
Mkuu all I can say tufanye kazi....hili ni somo pana..wengine tunaongelea hili swala from our experience in this global order shaped by these institutions........
Ndo maana wengine Magufuli tunamuelewa anapopambana tujitegemee tuachane na hizo mentality za kudhani kwamba ukienda New York uka-shake hand na Obama au Hollande matatizo yako yanakwisha.
Again, I fully support multilateralism but for now global terrain does not favour our emancipation.
Our priorities are different. And Magufuli is among few African Presidents who understand that.