HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
Mheshimiwa Rais sasa mwendo Mdundo na hataki mchezo kabisaa na hajaribiwi.
Kampuni hizi zilikuwa zinachimba dhahabu huko kwenye migodi ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi.
Tusisahu kuwa hawa ACACIA mining walilalamika kine vyombo via habari via nje ya nchi kuwa TRA wamechukua pesa pesa ambazo walikuwa wanadaiwa (Dollar milioni 5) toka kwenye account yao bila idhini yao wakati huo huo wao kama ACACIA walikuwa wanaidai serikali dollar milioni 15
Habari zaidi someni hapa:
Kampuni hizi zilikuwa zinachimba dhahabu huko kwenye migodi ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi.
Tusisahu kuwa hawa ACACIA mining walilalamika kine vyombo via habari via nje ya nchi kuwa TRA wamechukua pesa pesa ambazo walikuwa wanadaiwa (Dollar milioni 5) toka kwenye account yao bila idhini yao wakati huo huo wao kama ACACIA walikuwa wanaidai serikali dollar milioni 15
Habari zaidi someni hapa:
More Magufuli orders removal of top mining from gold fieldThe mineral prospecting area in question is located in Shinyanga Region and licenced to Pangea Minerals Limited, a subsidiary of Acacia Mining Plc (formerly Barrick Tanzania) which owns three gold-producing mines in the country - Bulyanhulu, North Mara and Buzwagi.
The president yesterday chided the ministry for ordering the removal of artisanal miners from the Mwakitolyo area and reversed the decision, saying it is the mining giant that should be removed instead.
"How do you kick out more than 5,000 people in favour of just one investor? This is unacceptable and it doesn't even make sense," Magufuli said at State House in Dar es Salaam.