Rais Magufuli afuta leseni za kampuni za kuchimba dhababu za PANGEA Minerals(Acacia Mining/Barrick)

Mwanzoni walisema Magufuli hawezi sababu tatizo ni mfumo.

Baada ya kuanza kuwatumbua mafisadi wenzao wakasema ni nguvu ya soda.

Baada ya mwaka mzima kuisha huku sindano zikiwaingia kwa kasi ile ile na soda haiishi nguvu, sasa wameanza kupongeza!


Safi sana Yericko, natamani ufipa yote ipokee ubatizo wa moto kama uliopokea wewe na hatimaye kuungana na rais bora kabisa duniani kulijenga upya taifa la Tanzania.
Hii post unaisambaza kila thread naona umechoka hata kumtetea Magufuli kwa kuendesha nchi hovyo kutokuata misingi ya kikatiba na sharia tangu ameingia ameitia hasara nchi hii more than 7 trillion sasa kwako kama unaona ni mafanikio unahasara wewe na ukoo wako wote sasa na saa ya kufa kwako
 
Wewe nawe mamamaye hujui Kiingereza unajitia madahilo tu! Mbona hakuna sehemu inayoonesha kwamba wamenyang'anywa leseni yote ya uchimbaji dhahabu? Badala yake kuna maelezo kwamba wamenyang'anywa leseni ya eneo la utafiti la Mwakitolyo kule Shinyanga!
kwa jinsi ulivyokosa akili unadhani hilo ni picha nzuri kwa mwekezaji aliyefuata taratibu zote kupata eneo kama maccm munaweza mbona musiwatafutie wachimbaji wadogo eneo linguine wakati karibu nchi nzima inamwamba wa dhahabu mumemchefua Dagote sasa Accacia hawa watu mupo nao na mumewakaribisha munawatukana munaongea lugha za kejeli munakubariana leo hiki kesho munatumia vyombo vyenu vya habari kuwaatangaza na kuwadharilisha wawekezaji kwa wananchi huu ni utawala mbovu sana ni washamba hamjui demokrasia ya uchumi sio mabalozi wazuri munachafua jina la nchi na Zaidi sio wazalendo munapenda sifa za kijinga
 
kwa jinsi ulivyokosa akili unadhani hilo ni picha nzuri kwa mwekezaji aliyefuata taratibu zote kupata eneo kama maccm munaweza mbona musiwatafutie wachimbaji wadogo eneo linguine wakati karibu nchi nzima inamwamba wa dhahabu mumemchefua Dagote sasa Accacia hawa watu mupo nao na mumewakaribisha munawatukana munaongea lugha za kejeli munakubariana leo hiki kesho munatumia vyombo vyenu vya habari kuwaatangaza na kuwadharilisha wawekezaji kwa wananchi huu ni utawala mbovu sana ni washamba hamjui demokrasia ya uchumi sio mabalozi wazuri munachafua jina la nchi na Zaidi sio wazalendo munapenda sifa za kijinga
Wewe nawe taahira umetoka wapi? Kuna mahali nimekujibu wewe? Mbona unakurupuka kama umefumaniwa na mmeo? Tuliza akili usome tena ni kitu gani nilichokuwa nampinga mleta mada wala usipende kukurupuka tu! Kuna mahali kwenye maandishi yangu nimesema Rais amefanya vizuri au vibaya? Masichana ya siku hizi sijui mna akili fupi namna gani?
 
tusubiri kesi za uswisi zianze tulipe fidia za mabilioni ya dola,si unajua hata ka kiwanja ukichukua kwa sababu yeyote lazima ufidie,sembuse eneo lenye madini,watu wameingia gharama kufanya utafiti,kulipa tozo,na hasara ya kukosa biashara,japo pia wanaweza kulirudisha kwa kupitia kesi hizohizo kwa hoja kwamba hawakupewa notisi
Atalipa yeye na mkewe, nitakomaa maana hana baraka za bunge kufanya hivyo!!
Mikurupuko tuuuuuu!!
 
Hayo ni mambo ya kijinga kijinga ya ulaji ya chama gamba hiyo acasia watafungua kesi tutaishia kulipa faini za kifisadi kumbe ni njama ya ccm na acacia kulitafuna taifa kijanja hili kubomoa makampuni ya kifisadi ni lazima azimio la kisheria na kikatiba lipitishwe bungeni sasa swali kwanini bichwa afanyi hivyo wakati uwezo anao ???? Jibu hizo ni janja janja za kifisadi za CCM .mwekezaji awekeze kwetu hukumu itoke ulaya that stupid
 
Hebu semeni! Ni sehemu gani hiyo kampuni ilishamiliki kitalu cha madini bila kubughudhi wachimbaji wadogo wadogo?
kwa hiyo kama hawafai munawaweka wa nini munabip au mbon hamueleweki nyie Maccm mulielezwa mumetengeneza sheria mbovu za ukandamizaji kwa wazawa leo munataka sifaa unanyang,anya eneo lake ulilopitisha mwenyewe (serikali) halafu unajifanya bingwa wa kupiga dili za kujifagua kama wewe uhusiki munaitia hasara nchi na wananchi walipa kodi kwa mipango yenu ya kukurupuka
 
Sasa stand united chama la wana si walikuwa wanadhaminiwa na hawa jamaa?
 
Wewe nawe taahira umetoka wapi? Kuna mahali nimekujibu wewe? Mbona unakurupuka kama umefumaniwa na mmeo? Tuliza akili usome tena ni kitu gani nilichokuwa nampinga mleta mada wala usipende kukurupuka tu! Kuna mahali kwenye maandishi yangu nimesema Rais amefanya vizuri au vibaya? Masichana ya siku hizi sijui mna akili fupi namna gani?
wasichana wa ,Tandale na Mnyamani wako kama wewe yaani unabwatuka kanga kiunoni tulia rudi kasome maandishi yako
 
Nimekuuliza swali, ni sehemu gani hiyo kampuni ilishamiliki kitalu cha madini bila kubughudhi wachimbaji wadogo wadogo? Anzia Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara!
aliyesababisha sio serikali ya Magufuli Kikwete Mkapa na ccm yenu sasa unatuambia sisi wananchi tufanyaje wakati ndio sera zenu za unyonyaji kwa wananchi
 
Hii mikataba kuvunjwa kiholela ...itatumbukia nyongo...jamaa hawa watatudai nje na tutawalipa..
Tusubiri sasa ile reserve tunayo nunulia ndede ichotwe kulipa fidia.
Unapo zungumzia mwekezaji mmoja ...maana yake nini ? Kwani yeye hajaajiri wafanya kazi? Tena yeye aneajiri katika mfumo unaokubalika. Wanalipa payeee, nssf
Hawa machinga hawalipi chochote na dhahabu wanauza kwa walanguzi....
 
Mwanzoni walisema Magufuli hawezi sababu tatizo ni mfumo.

Baada ya kuanza kuwatumbua mafisadi wenzao wakasema ni nguvu ya soda.

Baada ya mwaka mzima kuisha huku sindano zikiwaingia kwa kasi ile ile na soda haiishi nguvu, sasa wameanza kupongeza!


Safi sana Yericko, natamani ufipa yote ipokee ubatizo wa moto kama uliopokea wewe na hatimaye kuungana na rais bora kabisa duniani kulijenga upya taifa la Tanzania.
Umeishiwa kufikiri kila Uzi unao changia unaaweka hii comment umepooza?
 
Ushauri:
Kwa mwenye fursa ya "kuondoka" na kutafuta green pasture nchi jirani afanye hivyo. Tunakoenda si mbali. Yule mzee wa Afrika alitumia hoja hizohizo: inakuwaje wakulima wachache wamiliki ardhi kubwa ya kilimo na "wapigania uhuru" wasimiliki. Sasa hivi wana noti hadi ya trilioni moja.
 
Nimekuuliza swali, ni sehemu gani hiyo kampuni ilishamiliki kitalu cha madini bila kubughudhi wachimbaji wadogo wadogo? Anzia Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara!
wewe nionyeshe wapi niliposema hawa jamaa hawajawabughudhi wachimbaji wadogo wadogo nilichosema mimi ni kuwa aangalie hizi orders zake maana wenzake walishakula deal na kuhalalisha vitalu kwa jamaa, hivyo yeye kuwanyang'anya siyo soluhisho maana ataishia kuwarudishia na kulipa faini. Naomba nisiwe sahihi maana tumeona kesi nyingi tunashindwa sababu ya kutengeneza mazingira ya kushindwa hizo kesi.
 
Ushauri:
Kwa mwenye fursa ya "kuondoka" na kutafuta green pasture nchi jirani afanye hivyo. Tunakoenda si mbali. Yule mzee wa Afrika alitumia hoja hizohizo: inakuwaje wakulima wachache wamiliki ardhi kubwa ya kilimo na "wapigania uhuru" wasimiliki. Sasa hivi wana noti hadi ya trilioni moja.
Nadhani hujafuatilia hiyo nchi unataka kuwatisha watu bila sababu ya maana. jaribu kurudi tena na ku research hiyo taarifa halafu njoo uandike usitudanganye na kututisha haina uhusiano wowote na hili la kwetu. Jaribuni kuwa wakweli wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom