Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Wafanye kama Cuba wanaingia nao mkataba mapema ni waajiriwa wa serikali wanapopokea mkopo wa masomo tu.
Ukienda kufanya kazi private hiyo hospitali inabidi iingie mkataba na serikali yao na kuwalipa asilimia kadhaa ya mshahara wako kila mwaka. Brazil na Venezuela wanaotegemea madaktari wa Cuba ndio wanavyofanyiwa.
Ikitokea daktari bingwa ndio kabisa yaani wakusomeshe, wakupe na experience mpaka uitwe bingwa mtu anaemtaka lazima alipe dau kubwa zaidi; that’s how Cuba manages to keep their highly skilled Drs wanaopokea mishahara midogo compared to the world.
Ukienda kufanya kazi private hiyo hospitali inabidi iingie mkataba na serikali yao na kuwalipa asilimia kadhaa ya mshahara wako kila mwaka. Brazil na Venezuela wanaotegemea madaktari wa Cuba ndio wanavyofanyiwa.
Ikitokea daktari bingwa ndio kabisa yaani wakusomeshe, wakupe na experience mpaka uitwe bingwa mtu anaemtaka lazima alipe dau kubwa zaidi; that’s how Cuba manages to keep their highly skilled Drs wanaopokea mishahara midogo compared to the world.