Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Serikali yaanza kuwafuatilia Madaktari walioajiriwa Halmashauri na kuacha kazi au kuhamia sekta binafsi kati ya 2015 - 2021
Ikumbukwe Januari 30, 2021, Rais Magufuli akiwa mkoani Tabora alitoa maelekezo kwamba madaktari mkoani humo waliokimbia Hospitali ya Rufaa ya Serikali na kwenda Binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe. Zaidi soma Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe
Ikumbukwe Januari 30, 2021, Rais Magufuli akiwa mkoani Tabora alitoa maelekezo kwamba madaktari mkoani humo waliokimbia Hospitali ya Rufaa ya Serikali na kwenda Binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe. Zaidi soma Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe