Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Hivi ni lini mlishawahi kumuamini Kikwete? Huwa asemi ukweli hatamara moja.
 
Your best friend might turn into your worst enemy... Tujifunze kitu.

1436592383727.jpg
 
Kikwete ni mzalendo wa nchi hii. Amekataa kumpa rafiki yake nchi kwa maana anamjua vizuri ni mwizi na atawaibia Watanzania.
 
Inanikumbusha ile kauli ya Kabila Marehemu kwa jamaa waliomsaidia kuingia madarakani miaka ile kuwa hawezi kuuza Nchi kwa makubaliano waliyokubaliana porini... Hakuna mahali JK na Lowassa waliandikishiana kuhusu kuachiana madaraka, pengine Lowassa aweke huo mkataba hadharani, maana hii ni fedheha kubwa kwa watu ambao hawakukutana barabarani.
 
Katika kazi urafiki pembeni kwanza.. Na nahisi Lowassa angepita, zingetokea threads nyingi sana za kumdiss Jakaya kwa kumpa rafiki yake nchi.
 
Tunajifunza kwamba urafiki pia una unafiki mwingi tu
 
Inanikumbusha ile kauli ya Kabila Marehemu kwa jamaa waliomsaidia kuingia madarakani miaka ile kuwa hawezi kuuza Nchi kwa makubaliano waliyokubaliana porini... Hakuna mahali JK na Lowassa waliandikishiana kuhusu kuachiana madaraka, pengine Lowassa aweke huo mkataba hadharani, maana hii ni fedheha kubwa kwa watu ambao hawakukutana barabarani.

Jamaa kachinjiwa kamati ya maadili yani
 
Back
Top Bottom