Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Kikwete ni mzalendo ndio anataka ampe ndugu yake kawaulizeni jimbo la mtama anapotokea membe jinsi wanavyolia
 
Urafiki katika mambo ya msingi,unawekwa pembeni. Lowassa bana, amekosea strategy, nilisema hapa kuwa timing yake haikuwa nzuri katika harakati zake, ilikua kama anaforce kuwa rais, eti kwasababu tu waliahidiana na Kikwete.
 
Alichojimaliza Lowassa ni kuwa anajijua yeye mchafu halafu akazungukwa na watu wa kazi (wanoko) tupu kama kina Kingunge, JK mwenyewe, Apson- wote hao usitegemee watakuwa wanaona madudu halafu waachie tu apite. CCM kwa kumkata fisadi Lowassa, kura yangu mnayo, mshaipata wala sisubiri kampeni.
 
Lowassa alikuwa ana jikomba kwa JK wakati Jk alikuwa mbali naye.
 
Kaskazini, Magharibi na Kati ni UKAWA, Kusini ni CCM, Mashariki Wanagawana. Tatizo ni Refa Tume Ya Uchaguzi.
 
Urafiki katika mambo ya msingi, unawekwa pembeni. Lowassa bana, amekosea strategy, nilisema hapa kuwa timing yake haikuwa nzuri katika harakati zake, ilikua kama anaforce kuwa rais, eti kwasababu tu waliahidiana na Kikwete.

Sawa, let us agree Lowassa hafai, lakini katika hiyo tano hapo hakuna anayefaa pia. Target hapa apewe Membe, kweli kabisa nchi hii iongozwe na Membe? Bora hata angepewa Mizengo au Muhongo.
 
Urafiki kwenye nchi, sijui watu wengine hawajielewi- kwa kweli hii nchi acha tufe masikini kama wenye nchi ndio ninyi mnataka marafiki wapeane nchi
 
Lowassa alikuwa ana jikomba kwa JK wakati Jk alikuwa mbali naye.

JK hakuwa na nia mbaya na Lowassa, na hata alipojiuzulu, JK alimtetea kuwa ni ajali ya kisiasa. Tatizo vitendo vya Lowassa vikaanza kumshitua JK na kuona huyu mtu hawezi make. Alianza kutaka kumpindua JK toka uenyekiti, akashindwa.

Akaanza kutaka kumsiliba JK na ishu ya Richmond, ushahidi akawa hana. Akaanza kampeni na kumwaga pesa kama hana akili nzuri.
JK akaona huyu rafiki hawezi make.
 
Kikwete ni mzalendo wa nchi hii. Amekataa kumpa rafiki yake nchi kwa maana anamjua vizuri ni mwizi na atawaibia Watanzania.

Nimejifunza kuwa Kikwete kasema hapana kwa Fisadi na ufisadi. Imetosha na tuingie kwenye new Era
 
Sawa, let us agree Lowassa hafai, lakini katika hiyo tano hapo hakuna anayefaa pia. Target hapa apewe Membe, kweli kabisa nchi hii iongozwe na Membe? Bora hata angepewa Mizengo au Muhongo.

Membe hana uhakika, bado Magufuli ama Rose Migiro wanaweza kupeta. Subiri utaona
 
Membe hakupaswa kuingia tano bora, na kama ndivyo Kikwete anataka kuuthibitishia umma kwamba damu ni nzito kuliko maji
 
Back
Top Bottom