Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Mkuu,
Mimi huwa siziamini kauli za Rais Jakaya Kikwete.
Rais Kikwete hutaka kufurahisha/kuridhisha kila mtu kitu ambacho hakifai kwa kiongozi mkuu.
Nadhani hutashangaa kesho ukimsikia akitoa kauli nyingine.
Rais Kikwete ni kama kinyonga kwenye kutoa maamuzi ya kitaifa.
na hawezi kuitosa CCM kwa kuwawekea Lowassa akapambane na UKAWA
UKAWA wanataka mteremko LOWASSA kwani wao ndio watakaoporomosha madhambi yote wavuke kidedea
Matola janja ya nyani kwisha gundua
subirini 2020 au 2025 mtawekewa Lowassa sio sasa
 
Maumivu ya homa huanza polepole wale wanaccm wasiomtaka Lowassa wajiandae kisaikolojia mwenyekiti wa CCM ndugu JK ameyasema hayo mchini Africa Kusini Kusini kwenye mkutano wa AU akiwaambia marais wenzake kwamba kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa CCM yeye ana kura moja tu.

Chanzo: Taarifa ya habari ya redio one saa 2 usiku huu.

My take:
Wenye akili timamu waelewe hii inamaanisha zengwe lolote ndani ya kamati kuu kura ndio zitaamuwa na ukweli ni kwamba kila mwana CCM ana bei yake namuona Lowassa anavyowaachia manyoya wachovu wa kampeni waliobakia.

Matola hajielewi. Jk ni mmoja lazima awe na kura moja.
 
It's a fact kwamba kura yake ni moja and wether its for us or against us,that won't affect our position much.

Lowassa still remains the man to beat.
 
Jipeni tu matumaini kama slogan yenu but JK knows this game very well, kuruhusu jina la fisadi kufika NEC is a BIG blunder
mito hivi file alilokuwa kaandaliwa JK 2005 kuhusu maadili yake kweli Chama kingekuwa kinasimamia misingi yake unadhani angeweza kupita CC? Ni nini kilimfanya Mkapa at last minute kufanya about turn na kuanza kuimba wimbo wa nguvu za wanamtandao? Chama ni kile kile na watu ni wale wale,usijeshangaa kitakachotokea kikawa tofauti kabisa na unavyofikiria.July 12 si mbali sana! Ndio maana mimi namwelewa Matola anapotoa angalizo kwa hao watia nia wengine na wafuasi wao!
 
Last edited by a moderator:
Jk akileta uswahiba kwenye mambo muhimu kama haya atakwisha habari yake...
 
Nyamizi

Ni bora umenielewa kwanza siitaki kabisa Ccm ila ukiwaangalia watia nia wote hakuna msafi na wanagombea.wakiombea Lowasa hasiwepo sasa akiwepo maana yake hawa wote hata waungane Lowasa kura zake za Nec na za mkutano anazo na zimeshahesabiwa.

Namna ya kumshinda Lowasa ccm ni kumkata jina tu je nani mwenye ubavu huo? Mwenyekiti tayari ameshatamka yeye ana kura moja tu, kama kuna mgombea anategemea hisani ya mwenyekiti kala hasara.
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuondolee uchizi hapa kwenye mambo serious unatuletea quotes za wagonjwa wa akili kama huyo Lusinde? Wewe vipi?

Wewe ndo chizi Lowasa hawawezi kwenda ikulu
 
mito hivi file alilokuwa kaandaliwa JK 2005 kuhusu maadali yake mkweli Chama kingekuwa kinasimamia misingi yake unadhani angeweza kupita CC? Ni nini kilimfanya Mkapa at last minute kufanya about turn na kuanza kuimba wimbo wa nguvu za wanamtandao? Chama ni kile kile na watu ni wale wale,usijeshangaa kitakachotokea kikawa tofauti kabisa na unavyofikiria.July 12 si mbali sana! Ndio maana mimi namwelewa Matola anapotoa angalizo kwa hao watia nia wengine na wafuasi wao!

Mi naheshimu mawazo yako mkuu Nyamizi ni kweli kabisa anything can happen, ila asilimia ya kutokea kama hayo ya 2005 ni ndogo sana. JK has nothing to lose than rebuilding his image. Siamini kama anaweza kuacha chama ndani ya mikono ya mafisadi, siamini kama anaweza kuwakabidhi nchi mafisadi

Hebu tuwe wakweli mkuu Nyamizi, hivi what really do you expect mfano edo anakabidhiwa nchi?? do you see the people around him?? what sort of cabinet do you expect from him?? vitu vingine tuwezi tu wawazi jamani, kama mtu hafai tuseme tu wazi hafai, lakini hizi siasa za kishabiki kusema kweli zitaangamiza taifa letu!!
 
Last edited by a moderator:
Mi naheshimu mawazo yako mkuu Nyamizi ni kweli kabisa anything can happen, ila asilimia ya kutokea kama hayo ya 2005 ni ndogo sana. JK has nothing to lose than rebuilding his image. Siamini kama anaweza kuacha chama ndani ya mikono ya mafisadi, siamini kama anaweza kuwakabidhi nchi mafisadi

Hebu tuwe wakweli mkuu Nyamizi, hivi what really do you expect mfano edo anakabidhiwa nchi?? do you see the people around him?? what sort of cabinet do you expect from him?? vitu vingine tuwezi tu wawazi jamani, kama mtu hafai tuseme tu wazi hafai, lakini hizi siasa za kishabiki kusema kweli zitaangamiza taifa letu!!

Kwahiyo mkuu JK unamtoa kwrnye orodha ya mafisadi? Realy? Seriously?

Unaujuwa utajili wa rizione? Watu wakianza kuhoji alifanya kazi lini kuna majibu, hata anahitaji apumzimke asibugudhiwe na hapo ndipo Lowasa anapowaachia manyoya.
 
Last edited by a moderator:
Mi naheshimu mawazo yako mkuu Nyamizi ni kweli kabisa anything can happen, ila asilimia ya kutokea kama hayo ya 2005 ni ndogo sana. JK has nothing to lose than rebuilding his image. Siamini kama anaweza kuacha chama ndani ya mikono ya mafisadi, siamini kama anaweza kuwakabidhi nchi mafisadi

Hebu tuwe wakweli mkuu Nyamizi, hivi what really do you expect mfano edo anakabidhiwa nchi?? do you see the people around him?? what sort of cabinet do you expect from him?? vitu vingine tuwezi tu wawazi jamani, kama mtu hafai tuseme tu wazi hafai, lakini hizi siasa za kishabiki kusema kweli zitaangamiza taifa letu!!

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa siasa za kishabiki ndio zinaliangamiza Taifa letu.Tatizo hapa naloliona ni huyo M/kiti wa Chama kuwa na guts za kufanya maamuzi magumu kwa manufaa ya Chama na Taifa, Hata Mkapa had nothing to lose back in 2005 na angeweza kabisa kuongoza wenzie kutuletea Mgombea safi.What happened hadi akabadilika ghafla katika muda wa lala salama kiasi kwamba akawaacha kina Mangula wasiamini kilichokuwa kinatokea? Ninaamini kabisa ndani ya chama nguvu ya pesa ndio inaongea na watia nia karibu wote (ukiacha wachache like kina Makongoro) wanatumia pesa nyingi tu katika kampeni zao,tatizo hapa ni nani zaidi hapo ndio wengine wanazidiwa na kubaki kusubiri "msaada" kutoka kwa M/Kiti wa chama!
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo mkuu JK unamtoa kwrnye orodha ya mafisadi? Realy? Seriously?

Unaujuwa utajili wa rizione? Watu wakianza kuhoji alifanya kazi lini kuna majibu, hata anahitaji apumzimke asibugudhiwe na hapo ndipo Lowasa anapowaachia manyoya.

Na huu ndio ukweli ambao wengi wetu hatutaki kuusema.Huyu M/Kiti kafikishwa hapo na hao hao wanaoitwa Mafisadi.Si ndio wengine walikuwa kampeni Managers wake?
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa siasa za kishabiki ndio zinaliangamiza Taifa letu.Tatizo hapa naloliona ni huyo M/kiti wa Chama kuwa na guts za kufanya maamuzi magumu kwa manufaa ya Chama na Taifa, Hata Mkapa had nothing to lose back in 2005 na angeweza kabisa kuongoza wenzie kutuletea Mgombea safi.What happened hadi akabadilika ghafla katika muda wa lala salama kiasi kwamba akawaacha kina Mangula wasiamini kilichokuwa kinatokea? Ninaamini kabisa ndani ya chama nguvu ya pesa ndio inaongea na watia nia karibu wote (ukiacha wachache like kina Makongoro) wanatumia pesa nyingi tu katika kampeni zao,tatizo hapa ni nani zaidi hapo ndio wengine wanazidiwa na kubaki kusubiri "msaada" kutoka kwa M/Kiti wa chama!

Kwa hii analysis yako nakubaliana na wewe mkuu, anything can happen under corrupt ccm!!

Ila kwa nguvu ya Ukawa + mwamko wa wananchi, ccm wakipitisha mtu asiyereflect wanachotaka wananchi au anayereflect kile wanachochukia wananchi, halafu uchaguzi uwe huru na wa haki, Ukawa wanakamata dola asubuhi asubuhi
 
Kikwete hawezi kukubali kuwaachia wazembe washike dola..hii nchi kiongozi aliebaki kufit uamiri jeshi ni lowasa tu hakuna mwingine.

nani aliwahi kuwa rais mzembe....maana wengine kama ukawa hawajawahi kushika wadhifa huo huwezi kuwaita wazembe.
 
Kwahiyo mkuu JK unamtoa kwrnye orodha ya mafisadi? Realy? Seriously?

Unaujuwa utajili wa rizione? Watu wakianza kuhoji alifanya kazi lini kuna majibu, hata anahitaji apumzimke asibugudhiwe na hapo ndipo Lowasa anapowaachia manyoya.

Aaaha mkuu Matola nimekosa majibu ya maswali yako kwa kweli, kwa mtazamo huo nakubaliana na wewe

Inamaana kumbe ni kesi ya ngedele hakimu nyani, teh teh teh

Ila hata mimi naamini kabisa jina la edo likipita kwenye hizo kamati mbili tu za mwanzo, kweli tutaona manyoa tu!!
 
Kwa hii analysis yako nakubaliana na wewe mkuu, anything can happen under corrupt ccm!!

Ila kwa nguvu ya Ukawa + mwamko wa wananchi, ccm wakipitisha mtu asiyereflect wanachotaka wananchi au anayereflect kile wanachochukia wananchi, halafu uchaguzi uwe huru na wa haki, Ukawa wanakamata dola asubuhi asubuhi

Unajua Mkuu mito kama CC ingekuwa na watu wengi wenye caliber ya kina Mangula ningeweza kuwa na matumaini na maamuzi yao.Lakini kwa sasa tujiandae tu kisaikolojia na matokeo yoyote,yanaweza kuwa ya kutia matumaini kwa maana ya kupata Mgombea safi lakini pia kinyume chake!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom