Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Who controls the past controls the future.
Who controls the present controls the past.
- George Orwell
 
Kuna haja ya kutafuta pop corn hapa mana movie bado inaendelea kwa waliokatwa
 
Safari ya Matumaini
Safari ya Matumai
Safari ya Matuma
Safari ya Matum
Safari ya Matu
Safari ya Mat
Safari ya Ma
Safari ya Monduli
😂😂😂😂😂😂
 
mara nyingi marafiki wengi huwatumia wenzao kuyafikia malengo yao. wakitimiza wanapotea

nimeona kenya odinga alisema kibaki tosha kwa kutaraji na yy akimaliza atasema odinga tosha hatima yake tofauti

same kwa kabila kule na sasa huku kwetu
 
Kilichomponza El ni uwazi kupita kiasi wakti rafki yake msiri, kingine amekuwa mbabe kupita kiasi hata kujiamin kupita kiasi nafkir amefka mahala alianza kumtisha jk
 
Jk hajawahi kuwa na urafiki na lowasa,ni umbea wa team lowasa tu.
Source:riziwani.
 
Kwa hali kama hii yule rafiki yangu tuliyekubaliana kufanya kama Jk na lowassa duuh...itabidi nianze mimi!😕😕😕
 
"Mimi na Kikwete hatujakutana barabarani, urafiki umetoka mbali. Nilimuunga mkono 2005 hivyo safari hii naamini ataniunga mkono"
 
huwezi kuleta urafiki kwenye maslahi ya Taifa...

Bravo JK
 
Huo urafiki ulishakwisha zamani sana, ni Lowassa ndo alikuwa analazimisha huo urafiki... sasa mtoto wa Msoga kamchinjia baharini... panya katolewa ndani ya mtungi ...
 
Siasa mchezo mchafu;lakini pia maamuzi ni ya wajumbe 30 sio raic pekee.hii game saa 50/50 si chama tawala so ukawa.atakae changa karata vizur nchi anachukua nchi.nawasubir jukwaani.Mimi ni muumini wa Sera sio upepo
 
Back
Top Bottom