Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

Aaaha mkuu Matola nimekosa majibu ya maswali yako kwa kweli, kwa mtazamo huo nakubaliana na wewe

Inamaana kumbe ni kesi ya ngedele hakimu nyani, teh teh teh

Ila hata mimi naamini kabisa jina la edo likipita kwenye hizo kamati mbili tu za mwanzo, kweli tutaona manyoa tu!!

Na hapa unakuta kina Nape ama hawajui kinachoendelea au wanajua lakini bado wako kwenye denial thinking kuna Miujiza yaweza tokea.

Huyu Lowassa sasa hivi angekuwa Historia kama enzi za kuvua gamba wangetenda kile walichokuwa wanatuhubiria kumvua Gamba,kama ilishindikana kipindi hicho sioni muujiza ukitendeka sasa hivi kwenye dakika za lala salama!
 
Unajua Mkuu mito kama CC ingekuwa na watu wengi wenye caliber ya kina Mangula ningeweza kuwa na matumaini na maamuzi yao.Lakini kwa sasa tujiandae tu kisaikolojia na matokeo yoyote,yanaweza kuwa ya kutia matumaini kwa maana ya kupata Mgombea safi lakini pia kinyume chake!

Kweli kabisa mkuu, tujiandae tu kisaikolojia

Na jamaa anajua hilo, manake kuna mahali nilisoma kuwa anamuhofia sana Mangula, nikashangaa why anamention Mangula tu and not the whole committee!!

Anyway let us wait and see mkuu
 
Na hapa unakuta kina Nape ama hawajui kinachoendelea au wanajua lakini bado wako kwenye denial thinking kuna Miujiza yaweza tokea.

Huyu Lowassa sasa hivi angekuwa Historia kama enzi za kuvua gamba wangetenda kile walichokuwa wanatuhubiria kumvua Gamba,kama ilishindikana kipindi hicho sioni muujiza ukitendeka sasa hivi kwenye dakika za lala salama!

Kama ni hivyo kumbe basi ngoma ni mbichi kabisa mkuu
 
Huko huko South kasema umefika wakati wanawake wakapewa madaraka maana wameweza kuonyesha ni viongozi wazuri wakiwezeshwa..sasa haya ni maneno ya JK aliesema huko Sandton hio jana, na angalia katika watangazania kuna wanawake wangapi??Watch this space!!!
Za kuambiwa changanya na za kwako- JK.
 
Mangula karudishwa maksud kumkata edo! Wengine n wapga kelele kuanzia kwa mkulu mwenyewe! So nilazima edo amgwaye mangula!
 
Well said Jk na lowasa hawajakutana barabarani 2005 lowasa alijitoa katka hatua za mwsho katika kipindi cha Bunge la bajeti kamanhili katika mbio za urais na kumuunga JK mkono na

Abdulrahman Kinana na Anna Makinda walimwaga chozi hadharani mbele ya team lowasa ya 2005 baada ya lowasa kuwatangazia kuwa ameamua kukubali ombi la JK la kumuunga mkono JK kwa makubaliano ya kuachiana madaraka na kwa ushawshi wa king Maker kwani kila mmoja JK na lowasa walkua wameshajiandaa sana ni kama leo lowasa ajtoe fkria wafuasi wake na garama so lowasa alijtoa kwa dhati na anampenda JK kutoka moyoni japo wanafki wasio jua historia yao wanapambana usku na Mchana kuwagombanisha mktaka kujua urafk wa JK na lowasa muulizen kinana au makinda.. kwahiyo unganishen dot mtajua kinana na JK wanampenda lowasa kutoka moyoni na si knafki kwa hyo nape na membe wanacheza ngoma wasiyoijua

Mkuu waache wajiliwaze,kama hata kusoma hawajui hata picha inawashinda basi imekula kwao
 
Mangula karudishwa maksud kumkata edo! Wengine n wapga kelele kuanzia kwa mkulu mwenyewe! So nilazima edo amgwaye mangula!

Lakini Mangula huyo huyo alikuwepo back 2005 tena kama Katibu Mkuu wa Chama! Ni nini ambacho hakuwa nacho wakati ule akashindwa kuwazuia wanamtandao kwamba sasa uwezo huo anao?
 
Ila JK alishawai kusema kuwa wapo watu wanaiweza nafas ya urais kilichobak ni kuwashawish tu wagombee,manikumbuka hii????
 
Huko huko South kasema umefika wakati wanawake wakapewa madaraka maana wameweza kuonyesha ni viongozi wazuri wakiwezeshwa..sasa haya ni maneno ya JK aliesema huko Sandton hio jana, na angalia katika watangazania kuna wanawake wangapi??Watch this space!!!
Za kuambiwa changanya na za kwako- JK.
Huyo jamaa bhana ukimfatilia sana waweza pagawa
 
Back
Top Bottom