Rais Kikwete amewasili Dubai usiku jana akiwa njiani kwenda marekani kwa ajili ya matibabu na kufanya check up ya afya yake.
Maafisa wa ikulu wamethibitisha kuwa safari hii ni kwa ajili ya matibabu tu ingawa haijasemwa anasumbuliwa na nini
source ni ikulu wametangaza na kwenye taarifa ya habari ya saa saba mchana chanel TEN kuwa mkuu wa nchi amekwenda kufanyiwa uchunguzi wa afya yake USA hii imekaaje wakuu
Rais Kikwete amewasili Dubai usiku jana akiwa njiani kwenda marekani kwa ajili ya matibabu na kufanya check up ya afya yake.
Maafisa wa ikulu wamethibitisha kuwa safari hii ni kwa ajili ya matibabu tu ingawa haijasemwa anasumbuliwa na nini
Ni kawaida kwa binadamu kuangalia afya kila wakati, tumwache rais acheki afya yake.cha msingi hapa ni kumwomba Mh Rais kuendelea kuziboresha hosptal zetu,ili huduma nzuri ziweze kupatikana na kupunguza safari za viongozi wetu nje ya Tanzania,hii itasaidia kuwa na huduma nzuri za kiafya hapa nchini kama ilivyo kwa afrika ya kusini
Kwenye hilo bandiko la Barubaru imebidi nimgongee 'like', sio kwa kupenda bali kwa machungu ya jinsi baadhi yetu tunavyoichukulia nchi hii. Kwa hakika kusonga mbele itakuwa kazi ngumu.Nyerere Miaka 24 Ikulu safari 66 nje ya TZ
JK miaka 8 Ikulu safari 361 nje ya TZ
Anayetetea safari za JK nje ya nchi ana matatizo ya kufikiri!!
Kwa kuwa alikuwa RSA, kwa nini hakufanya hiyo check-up pale Millipark alikolazwa Mgimwa na kuokoa kiasi kikubwa cha pesa ya walala hoi?Anasumbuliwa na S&T allowances!! Ndani ya week mbili tu ................. RSA x2, Kenya, sasa UAE na kesho USA!! Kama kweli ni matibabu kulikuwa na haja gani ya kupitia huko Dubai. Au anataka kudai ana save pesa za walipa kodi kwa cheap tickets za Emirates!!??
hahahahahahahaha JF kweli kiboko!!!Hivi kwann tusijenge ikulu nyingine marekani huyu mzururaji akakae huko?
wiki moja trip zaidi ya tano?
Hivi marekani hawana sera ya kukamata wazururaji kama hawa?
Why US, while UDOM and MMC can perform blood exchange at (the) fraction of the costs ???Nyie pro-Chadema najua mna chuki sana na rais wetu JK hata kama anakwenda kutibiwa tatizo lipo wapi acheni unafiki basi, juzi hapa kiongozi wenu Dr.Slaa kaongozana na girlfriend wake Josephine kwenda Ujerumani kuangaliwa afya mlishangilia sana leo JK mnaanza kuponda acheni siasa za makengengeza.
Rais Kikwete amewasili Dubai usiku jana akiwa njiani kwenda marekani kwa ajili ya matibabu na kufanya check up ya afya yake.
Maafisa wa ikulu wamethibitisha kuwa safari hii ni kwa ajili ya matibabu tu ingawa haijasemwa anasumbuliwa na nini
Wengine huwa wanasema 'ningekugongea likes 1m'. Hoja yako ni ya msingi sana katika suala zima la uzalendo maana Afrika Kusini hawajafikia USA lakini wanawakaribia kwa matibabu. Huenda suala sio check-up ila kuna kingine lakini wanatudanganyia hiyo.Kwa kuwa alikuwa RSA, kwa nini hakufanya hiyo check-up pale Millipark alikolazwa Mgimwa na kuokoa kiasi kikubwa cha pesa ya walala hoi?