WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Haya ndiyo matunda ya kuwa kondoo.Nakumbuka hata Yona naye alisema hivyo hivyo kuwa tutaona maisha mazuri kwa watanzania katika kipindi chake.Naye akala akapita,Membe naye anakula atapita ..story goes on and on.
Ndugu zangu bila ya kujipanga vizuri na kuimarisha upinzani hakutakuwa na mafanikio yoyote yale.Watanunua manisani patrol,mercedes,mijumba nk...kwa hela na jasho letu.
-Wembe
Ndugu zangu bila ya kujipanga vizuri na kuimarisha upinzani hakutakuwa na mafanikio yoyote yale.Watanunua manisani patrol,mercedes,mijumba nk...kwa hela na jasho letu.
-Wembe