Rais Kikwete na safari za nje

Rais Kikwete na safari za nje

Quote
".......Tanzania inapaswa itafute wawekezaji kwa lengo la kukuza uchumi."

Kwa nini anaweka Tanzania hapo kwenye statement yake? Inabidi aweke Mafisadi kwani hakuna uwekezaji wowote bali UFISADI mali na kodi za wananchi kwa ujumla. Atueleze uwekezaji gani umewekwa hapa Tanzania bila ya 75% ya mali li nchi kuwekwa mifukoni mwao. Kuanzia umeme, maliasili, viwanda, nyumba, n.k. You name it. Wakiambiwa waweke hiyo mikataba hadharani au hata Bungeni hawataki. Nafikiri muda utafika hawa jamaa wote itabidi waende jela kwanza.
 
Sheikh Yahya Alikwashesema,Watu wanaokuwa na Herufi M pamoja na Kitu they mostky likely kuwa Viongozi.

Mwandosya
Makamba
Madabida
Membe
Mathayo David
Malechela
Mwinyi
Mkapa
Mugabe
Moi
Mbeki
Mwanawasa
Mongella(MRS)
Mwanakijiji


sasa Odinga wapi na wapi?

Mwanakijiji je? naye anapenda uongozi pia? au vidole vimeteleza kwenye keyboard
 
Ngoja, nadhani naijua ratiba ya Mzee: ni hii hapa chini. Safari ndogo ndogo za kwenda Kenya, Uganda na nchi jirani sikuzijumuisha.

January 1 -15: Tanzania
January 15 - 22: Netherlands
Januray 23 - 28: Germany
January 29 - February 12: Tanzania
February 13- February 27 : USA
february 28- March 7: Tanzania
march 8- March 16 : UK
March 17- March 30: Nordic Countries
April 1- April 5: Tanzania
April 6- April 17: Brazil
april 18- April 20: venezuela
April 21- may 1: Tanzania
may 2- May 10: Japan
May 11- May 17 Singapore
may 18- June 1: Australia
June 2 - june 7: New Zealand
June 8 - June 16 - Hawaii
june 17 - June 25 - Canada
June 26 - June 30 - South Africa
June 30- July 10 - Tanzania
July 10-July 20 - China
july 21- July 25 - India
July 26 - August 2 - UAE
August 2- August 9 - Tanzania
August 10- August 15 - Seychelles
August 16- August 18 - Mauritus
August 19 - August 22- Madagascar
August 22 - August 27 - South Africa
August 28- Sept 10 - Tanzania
Sept 11- Sept 17 - USA
Sept 18 - Sept 25 - Canada
Sept 26 - Sept 30 - Greenland (at last)
oct 1 - Oct 5 - Denmark
Oct 6 - Oct 15 - Belgium and France
oct 15- Nov 1 - Italy, Spain and Switzerland
Nov 2- Nov 5 - Tanzania
Nov 6- Nov 14- Korea
Nov 15- Nov 30 - USA
Dec 1- Dec 30; Tanzania
 
kichuguu yaani zaidi ya asilimia 75% ya wakati muungwana atakuwa nje ya nchi?
 
Kichuguu thanks kwa itenary ya msanii.

Ila jamani hivi hakuna tunaloweza kufanya kubadili hii hali japo kidogo? It is really painful kwa kweli huenda yeye halipwi hizo $ 30,000 kwa siku kama Obasanjo lakini I'm sure hizi safari zinatucost sana watanzania. Nieleweke sipingi rais kusafiri but this is too much waungwana. Hiyo misaada tunayopata haijustify hata kidogo hizo safari. Me namshangaa kutwa kucha na bakuli lake kama matonya anaacha pesa zinaliwa na MAFISADI humu ndani. I'm sure angetumia muda zaidi kusafisha serikali yake iliyokithiri kwa UFISADI tungeokoa pesa nyingi kuliko tunazopata kutoka kwenye hiyo misaada inayoitaja kila siku.

Hivi kama watanzania hatuwezi siku moja kuandamana kwa amani tu na mabango yetu kupinga safari zilizozidi za rais na ujumbe wake mkubwa usioendana na hali yetu kiuchumi? This is shame kinoma yaani muungwana ameweka aibu kando kabisa duh noma.
 
Nampongeza Waziri Membe kwa hatua hii, huu ndio uwazi na good governance tunayoipigia kelele kila uchao.

Kuwekwa wazi kwa gharama za safari ya Rais ni kitendo cha kupongezwa sana. Mnaolalamika kuwa ni ujinga mmeishiwa hoja mwanzo mlidai ni safari zimekuwa nyingi na zinali garimu taifa sasa mnaletewa mchanganuo mnasema ujinga! They cant win either way...

Ndio maana sasa mada mnajadili eti anataka urais 2015 walau kutia uzito hoja zenu lemavu, kweli mmeishiwa!
 
Membe asisahau ku-include cost ya wale waganga wa kienyeji wa raisi anao safiri nao. walituaibisha sana kipindi flani wakijaribu kupita ulaya kwenye msafara na vifurushi flani wakaambiwa haviingii nchini. 😀
 
Mr President at last nimesikia atakuwa Houston, Texas mwezi wa pili. Look forward to see him, but he need to know it is not going to free lunch, unless iwe no Q&A section.
 
Surely wanajambo mna mambo! mlitegemea Membe aseme kwamba anaunga mkono wanaokandia safari za raisi? tangu lini mtu mwenye akili akakata tawi alilokalia? the only place you can say whats true to your heart is in JF not at the foreign minister's office, especially not in his press release when he is alive! jamani, hajafikia kujiuzulu eti!
 
AAngalie maana anaweza kuvunja rekodi ya kuwa Rais wa kwanza kukaa nje ya nchi kwa mwaka mmoja huku akiongoza nchi, chukulia mathalani akififia rekodi ya kuwa nje kwa siku 266 ni mwaka huo na hapo sijui analipwa Tsh ngapi. Unaweza ukaona anastahili kuwa Balali na yeye. (LOL)
 
Surely wanajambo mna mambo! mlitegemea Membe aseme kwamba anaunga mkono wanaokandia safari za raisi? tangu lini mtu mwenye akili akakata tawi alilokalia? the only place you can say whats true to your heart is in JF not at the foreign minister's office, especially not in his press release when he is alive! jamani, hajafikia kujiuzulu eti!

Kwi kwi kwi!
Sometimes kama unakuta tawi ulilokalia linakuletea kadhia ni bora ukalipunguza, sio kulikata kabisa. Na kama kadhia zinazidi kata kabisa ili uwe huru, hata kama tawi hilo litahatarisha usalama wako.
No easy task!
 
Rais Kikwete ameanza ziara ya siku 10 mkoani Kagera, Wakati Waziri Mkuu anaanza ziara ya siku sita huko Mtwara na Lindi hapo Kesho.. wamemuachia Shein jiji la Dar.. maana Dar ni moto moto..
 
Waziri Membe, leo ametetea safari za rais Kikwete, nje ya nchi akisema zina umuhimu na manufaa makubwa sana kwa taifa letu. Akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Neptune, Zanzibar leo, alisema kuwa wale wanaomlaumu rais laiti wangejua faida ya hizo safari wasingesema sana na kumlaumu sana rais bila sababu za msingi.

Wamefikia hadi hatua ya kumuita Vasco da Gama, hii ni heshima kubwa sana, kwani huko Ureno kuna majumba mpaka mitaa yenye hilo jina, na mimi Membe ningeitwa hivyo ningefurahi sana, alisema waziri Membe.

Mwaka jana Rais Kikwete, alisafiri mara 17 nje ya nchi kulinganisha na Mbeki wa Afrika Kusini, aliyesafiri mara 21. Bila ya kupata rais wa kuhangaika, nchi haiwezi kuendelea. Alikwenda US kutafuta na kupewa dola 698 millioni na karibuni mtaona matunda yake. Wengine mnasema eti akienda huko Us haonani hata na rais wa huko, sio lazima amuone rais Bush, akienda huko. Anapoenda huko nje, huwa anaenda kuhemea, kutatua migogoro, kimsingi huwa anposafiri huwa ni kwa sababu ya jambo zito sana na sio kutaliii kama wapinzani wengi wanavyosema.
 
alisema kuwa wale wanaomlaumu rais laiti wangejua faida ya hizo safari wasingesema sana na kumlaumu sana rais bila sababu za msingi.
Watuambie faida zilizopatikana kwa Muungwana kukwea pipa kila mara sio waje na kauli mali.
Wamefikia hadi hatua ya kumuita Vasco da Gama
,
Sawa sawa wanapita na kuona...
hii ni heshima kubwa sana, kwani huko Ureno kuna majumba mpaka mitaa yenye hilo jina, na mimi Membe ningeitwa hivyo ningefurahi sana, alisema waziri Membe
.
Huyu nae alikuwa anaongea na watoto wake au wananchi? maneno ya waziri aliepewa dhamana kuongea pumba kama hizi?
Mwaka jana Rais Kikwete, alisafiri mara 17 nje ya nchi kulinganisha na Mbeki wa Afrika Kusini, aliyesafiri mara 21. Bila ya kupata rais wa kuhangaika, nchi haiwezi kuendelea. Alikwenda US kutafuta na kupewa dola 698 millioni na karibuni mtaona matunda yake.
Mambo mengine yanakera sana hayahitaji ubongo wa ziada kuyang'amua......
 
Oh! Please! Yes Mr. Membe we would like to know all the benefits to Tanzanians from those trips. Please go ahead and give us those details.
 
Mmmmmmh Benard unashangilia safari sasa,na marupurupu ya Uwaziri eeeh, umesahau enzi za baridi kali na ukereketwa wa Utanzania uliomtoa Dr kule Toronto,kwa ajili ya Matumizi mabaya ya Fedha za Walipa kodi?.Ukereketwa ule umeenda wapi Mkuu?
 
Ni aibu hata kumsikiliza kilaza kama huyu. Membe is bankrupt, hivi mtu mzima unatamani kuitwa Vasco Dagama.

Si abadilishe jina tu ajiite Benard Mbumbumbu Dagama
 
Back
Top Bottom