Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 37
rizwani ameanza lini kuchukua kandarasi za ujenzi wa barabara ....kiasi cha kupewa tenda mbeya ..aua mbeya wameona ndio wanastahili barabara mbovu...!!!
ujasiriamali mwingine.......hawa wanataka tuwafurushe....
Una ushahidi Mkuu, au ndio chai mnauziana mtaani, naomba tuwe na ushahidi jamani, tusijekuwabebesha watu lawama ambazo wala hawahusiki kisa Baba Raisi. Lete ushahidi ndio tuone kweli unajua ulisemalo.