jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,391
- 25,515
Atakuwa hapa kwa wiki mbili, pamoja na kufanya yaliyosemwa ataungana na Mama, halafu na yeye mwenyewe atakuwa kwa ajili ya Medical check up. Ana tatizo ambalo nilishadokeza siku nyingi zilizopita na sasa wakati umefika wa kulitilia mkazo, and NO siyo mdudu a.k.a ngoma a.ka umeme kama wengi walivyoaminishwa.
That exclusive from KLHN: Hadi hawa jamaa watakapojua kuwa wa wazi kuhusu afya ya Rais na kwa kadiri wanavyochelewa kuliambia Taifa sisi wengine tutajitolea kufanya hivyo.
Sasa kama ni kweli kina Nape washachukuwa nchi...Then kwanini aendelee kufanya kila kitu siri tuu.
Ila tunashukuru kwa hiyo xclusiv...Tunaliombea Taifa letu amani..Kwani hakuna anayewajali wananchi tena