Rais Kikwete na safari za nje

Rais Kikwete na safari za nje

Tumefikia wakati wa kuweka vitu hapa bila kuvi-qualify? Hivi watu wanaamini Membe katamka "Vasco Da Gama" kwa authority gani inayotoa hiyo habari? Source iliyoripoti iko wapi? Habari imeandikwa kama makala ya gazeti lakini nikitafuta kwenye mtandao siziopati, je hili ni gazeti la Tanzania ambalo halipo online? Mlio Tanzania mnaweza kuthibitisha? Au ndiyo mambo ya kuchangamsha baraza na wengine tunadakia bila kuthibitisha?

Pundit,

FMES amekuambia ametoa gazeti la Mtanzania na katoa na toleo namba, labda utuambie humuamini mzee ES au utuambie kwamba mzee ES anadanganya, vinginevyo sijui unatafuta source gani tena?

Hiyo habari imesemwa na Membe huko Zanzibar ambako yuko kwenye mkutano na maofisa wa wizara yake pamoja na mabalozi.
 
Post zinakuwa nyingi kidogo, nilikuwa na usongo wa kutayarisha dongo la nguvu kwa Membe nikawa nasubiri kuhakiki source.Post ya juu inayouliza kama hizi habari zimetoka katika gazeti lisilo online itathibitisha hilo.

Habari ya kuona rais kuitwa Vasco Da Gama kuwa "ujiko" imenichoma moyo sana.

Ahsante Mzee ES, ni hilo tu nilikuwa nalisubiri sasa naenda ku-unleash mbwa juu ya ubaradhuli huu usio kikomo.

Where is the freakin outrage?
 
Tumefikia wakati wa kuweka vitu hapa bila kuvi-qualify? Hivi watu wanaamini Membe katamka "Vasco Da Gama" kwa authority gani inayotoa hiyo habari? Source iliyoripoti iko wapi? Habari imeandikwa kama makala ya gazeti lakini nikitafuta kwenye mtandao siziopati, je hili ni gazeti la Tanzania ambalo halipo online? Mlio Tanzania mnaweza kuthibitisha? Au ndiyo mambo ya kuchangamsha baraza na wengine tunadakia bila kuthibitisha?[/B]


1. SOURCE:
Gazeti: .Mtanzania(Penye Nia Pana Njia)(Tovuti:www.newhabari.com/mtanzania)Toleo: # 4271, ISSN 0856-5678Tarehe: Januari 19, 2008 Jumamosi
Price: TSH 300Page: #1&2
Sub: Membe Atetea Safari Za Kikwete.

2. SOURCE:
Gazeti: Habari leo, Dada La Daily News(www.habarileo.co.tz)Toleo: # 00395, ISSN 1821-570xTarehe: Januari 19, 2008 JumamosiPrice TSH 300
Page: #3
Sub: Ziara Za Kikwete Nje Zina Manufa Nchini.
 
Post zinakuwa nyingi kidogo, nilikuwa na usongo wa kutayarisha dongo la nguvu kwa Membe nikawa nasubiri kuhakiki source.Post ya juu inayouliza kama hizi habari zimetoka katika gazeti lisilo online itathibitisha hilo.

Habari ya kuona rais kuitwa Vasco Da Gama kuwa "ujiko" imenichoma moyo sana.

Ahsante Mzee ES, ni hilo tu nilikuwa nalisubiri sasa naenda ku-unleash mbwa juu ya ubaradhuli huu usio kikomo.

Where is the freakin outrage?

The freakin outrage is dead with Mandela (quoting Joji Kichaka).

Yaani hata kabla FMES hajaweka hiyo proof hapo mimi niliamini kabisa kuwa Membe amejisifia kuwa Vasco Da Gama. Nimemsikia the guy karibuni akiongelea habari ya Kenya na maandamano ya upinzani kusapoti wakenya, nikagundua kuwa this guy ni bure kabisa na I decided to kill my freakin outrage with Mandelas
 
Nyie viongozi(viongozi sio watawala?)nawaambia ya kwamba Mungu amewapa ufahamu na akili kusudi muelewe hayo mnayosoma; mkafundishe/mkahutubie hayo mnayoelewa; na msadiki/muamini hayo mnayofundisha.

Vinginevyo mtaishia Hollywood, mkaungane na wenzenu.
 
Ahsante Mzee ES, ni hilo tu nilikuwa nalisubiri sasa naenda ku-unleash mbwa juu ya ubaradhuli huu usio kikomo.

Ninataka kuamini kuwa you are dead serious, na true to your word kwa sababu I was coming back na mawe, umeniwahi kabla sijayaachia, maana I have a feeling wewe ni nani na unataka nini, sasa prove me wrong and do it now!
 
Yaani hata kabla FMES hajaweka hiyo proof hapo mimi niliamini kabisa kuwa Membe amejisifia kuwa Vasco Da Gama. Nimemsikia the guy karibuni akiongelea habari ya Kenya na maandamano ya upinzani kusapoti wakenya, nikagundua kuwa this guy ni bure kabisa na I decided to kill my freakin outrage with Mandelas

That is Bernard Membe, tena kaingia pale wizarani na vituko kibao. Kaja na dereva wake toka kijiweni Seaview ambaye alikuwa taxi driver, na umri zaidi ya miaka 40 ambayo ni above the limit ya ajira kwa kazi ya udereva serikalini. Lakini kwa vile huyo jamaa alikuwa anampleka nyumba ndogo for the last five years ikabidi Membe kumforce DAP amuajiri. Pamoja na pumba zote Membe ana peronal assistants wanne. Ofisini kwake ni vituko tupu.

To be polite the guy is dumb na akiongea utadhani kuna sense, try to distill his words, at the end utabakiwa na pumba!
 
Tatizo kubwa ni waandishi wetu wa habari waliokuwa wakimsikiliza utumbo wa Membe..I wish angekutana na ma journalist wa Kenya wangemtoa jasho na ujinga wake..
 
FMES Serious people demand serious evidence.My repeated pleading for a solid way of naming the source only validate my degree of seriousness.

That other biz of knowing who I am may or may not be true, I am just wondering how valid is it to the issues.If you do know me I am sure you will rest your concerns (perhaps of infiltration?)

Sehemu nyingine ya kusisitiza ushahidi inatokana na maneno hayo ya kishenzi na yasiyoyumkinika kutoka kwa mstaarabu yeyote, seuze mtu mwenye wadhifa kama wa bwana Membe.Maneno kichaa yanamfanya mtu atake kuamini kuwa si ya kweli.Ahsanteni members kwa kumuanika baradhuli huyu mtovu wa historia wala haiba.
 
Quotes From Pundit,

1. Tumefikia wakati wa kuweka vitu hapa bila kuvi-qualify? Hivi watu wanaamini Membe katamka "Vasco Da Gama" kwa authority gani inayotoa hiyo habari?


2. Source iliyoripoti iko wapi? Habari imeandikwa kama makala ya gazeti lakini nikitafuta kwenye mtandao siziopati, je hili ni gazeti la Tanzania ambalo halipo online? Mlio Tanzania mnaweza kuthibitisha?

3. Au ndiyo mambo ya kuchangamsha baraza na wengine tunadakia bila kuthibitisha?

4. nilikuwa na usongo wa kutayarisha dongo la nguvu kwa Membe nikawa nasubiri kuhakiki source.Post ya juu inayouliza kama hizi habari zimetoka katika gazeti lisilo online itathibitisha hilo.

5. Habari ya kuona rais kuitwa Vasco Da Gama kuwa "ujiko" imenichoma moyo sana.

6. Ahsante Mzee ES, ni hilo tu nilikuwa nalisubiri sasa naenda ku-unleash mbwa juu ya ubaradhuli huu usio kikomo.

7. Where is the freakin outrage?

8. FMES Serious people demand serious evidence.My repeated pleading for a solid way of naming the source only validate my degree of seriousness.


Mkuu Pundit,

Kwanza sikujua kuwa ndilo jina lako jipya hapa JF sasa, halafu sihitaji kupoteza muda wangu, isipokuwa ninayaweka wazi maneno yako mwenyewe ili wananchi waamue how serious you are?

Ni kweli mkuu you are very serious indeed, ila mimi sio mmoja wa hao watakao kuamini kwa sababu I was not born jana mkuu, wewe ni Membe apologists, makosa tuliyoyafanya na Mtandao hatutayarudia tena ya kuwapa tu power bila scrutiny, I know for a fact kuwa mkuu wako tayari anayo kambi ya uchaguzi inayowajumuisha kina Radhia, na wewe ukiwemo ndani kutoka huko uliko, mkuu Lunyungu anajua uko wapi, sasa please mkuu tuko hapa for a serious business sio kuchezeana akili, wachezee wajinga huko uliko sio kucheza na watu hapa JF, mwambie huyo mkuu wako kuwa next time arround urais hautakuwa wa bure tena, ishu zote humu JF mbona hujawahi kuuulizia source mkuu?

Mwambie mkuu hatutampa nafasi ya bure, na hasa yule mjomba wako mwambie hatuogopi mtu hapa hata muwe nani, mkisema pumba mtaambiwa hapa, kama kununua nunueni magazeti uchwara hayo, lakini sisi wananchi wote hamuwezi, wasalimie huko kambini waambie hapa nipona sijabadilika, bado ni mr. bad news kama siku zileeeee!

Thank You Sir!
 
FMES Serious people demand serious evidence.My repeated pleading for a solid way of naming the source only validate my degree of seriousness.

That other biz of knowing who I am may or may not be true, I am just wondering how valid is it to the issues.If you do know me I am sure you will rest your concerns (perhaps of infiltration?)

Sehemu nyingine ya kusisitiza ushahidi inatokana na maneno hayo ya kishenzi na yasiyoyumkinika kutoka kwa mstaarabu yeyote, seuze mtu mwenye wadhifa kama wa bwana Membe.Maneno kichaa yanamfanya mtu atake kuamini kuwa si ya kweli.Ahsanteni members kwa kumuanika baradhuli huyu mtovu wa historia wala haiba.

Mr Pindit indeed,

I sympathyse with your ignorance of the truth behind the so called Membes success an rise to glory with an ultimate dream of becoming the next president of URT. Waulize wanaomjua huyo bwana mdogo, watu ambao akija huku lazima anaripoti physically au kwa simu. Watu waliomfundisha kuongea kiingereza na kumkaribisha JHU.

Na kama unabisha nenda kamuulize Membe leo hii nani alimgurantee hizo millioni 16 alizokopa benki juzi? Ukupe jibu then uendelee na ubishi wako. Shida ni kuwa wewe humfahamu Membe, kama umemfahamu ni baada ya 1995. Sisi tumjua toka akiwa shushusu.

FYI hayo aliyotamka Membe ndiyo thinking ya Membe. Lakini waswahili wasema asifiye mvua imemnyea.
 
Mkuu ES,

Umenichekesha sana.Unanikumbusha yule mshkaji aliyekuja na issue za "Mwanakijiji kachero aliyesomea Cuba". Mkuu kubali tu uliweka habari bila source na watu makini wakaomba source, sio jambo geni mimi na wengine wengi tumeshawahi kulifanya humu na hata kama unataka nichukue muda kutafuta posts tunazobanana kudai source naweza kukupatia, hii yote ni katika kuhakikisha JF inakuwa objective.

Au Mkuu FMES yuko beyond kuulizwa source?

Jina langu jipya hapa JF? Ukisema hivyo ina maana nina jina la zamani, sasa mbona unasema mambo nusu nusu si ulitaje jina la zamani ni lipi hapa JF? Mkuu unaheshimika sana na naona fadhaa kuona watu wenye lengo moja la kuusema ufisadi tunagawanyika kwa a non issue, umekereka mimi kuomba source? Katika vifungu nane ulivyonukuu hapo juu tatizo liko wapi? Allegations zako za kuwa mimi ni Membe apologist kweli zina msingi au ni kukurupuka tu? Unafuatilia posts zangu na muelekeo wake kuhusu administration hii? Mtu mwenye iota ya u-Membe apologist anaweza kuandika kwa tone yangu? Membe apologist wa kweli anaweza ku-dwell kwenye kitu kinachoweza kumzamisha kimsingi kabisa Membe kama ushahidi usiopingika kuhusu utumbo aliosema? Mi nilifikiri Membe apologist wa kweli angetaka ku-divert attention na siyo kuzidisha chumvi kwenye kidonda.

Magutu mengi huondoa ufanisi, shusha nondo, toa source kutakuwa wala hamna haja ya kufikishana huku.
 
Mr Pindit indeed,

I sympathyse with your ignorance of the truth behind the so called Membes success an rise to glory with an ultimate dream of becoming the next president of URT. Waulize wanaomjua huyo bwana mdogo, watu ambao akija huku lazima anaripoti physically au kwa simu. Watu waliomfundisha kuongea kiingereza na kumkaribisha JHU.

Na kama unabisha nenda kamuulize Membe leo hii nani alimgurantee hizo millioni 16 alizokopa benki juzi? Ukupe jibu then uendelee na ubishi wako. Shida ni kuwa wewe humfahamu Membe, kama umemfahamu ni baada ya 1995. Sisi tumjua toka akiwa shushusu.

FYI hayo aliyotamka Membe ndiyo thinking ya Membe. Lakini waswahili wasema asifiye mvua imemnyea.

ZalendoHalisi,

Ni kweli kwamba mimi Membe simjui zaidi ya kumsoma kwenye magazeti (kinyume na wengine walionibatiza upambe).Moja kati ya mambo mazuri hapa JF ni kupata mambo ya ndani pengine kushinda hata kupitia magazeti.

Kama nilivyosema mwanzo, kwa kuwa mimi Membe simjui, na nilisikia tu kwamba jamaa alishawahi kuongoza sehemu nyeti Tanzania, basi sikutegemea kwamba jamaa atakuwa mbumbumbu kiasi cha kusifia rais kuitwa Vasco Da Gama.Sikutegemea kauli hiyo kiasi ikanibidi niombe sources na kutaka kuverify mtandaoni.

Nashukuru kwa elimu iliyotolewa ambayo inatosha kabisa bila ya kwenda kumuuliza Membe mambo mengine kama nani amemdhamini mkopo au nani kamfundisha kiingereza.Mimi viongozi wa Tanzania wananitia kichefuchefu na hata nikipata nafasi ya kukutana nao huwa navuka upande wa pili wasije kuniambukiza ufisadi bure.
 
Mimi kwa mawazo yangu naona Raisi hafanyi vibaya kusafiri kwani nimefuatilia safari zake za marekani na Asia (China, Japan na Korea) vilevile za Europe na nimeona promise nyingi sana kazipata. Huwezi kufanyikiwa kama husafari na nchi yako inategemea wakezezaji wa nje na misaada kwa budget. Raisi anafanya vizuri sana na mimi kwa mawazo yangu ndiyo kitu pekee kizuri nimeona. Hizo pesa si zetu ni za misaada na haina maana asingesafiri hizo pesa zingefanya kitu kingine kwa pesa inatoka kwenye budget na budget inafungu hilo, na budget inasapotiwa na hao wahisani wa nje. Inabidi uelewa kwa undani pesa ya Tanzania inatoka wapi kabla hujaanza kulalamika. Tanzania si USA!
 
Kamundu,

Umesema vizuri. Hapa kuna vilio viwili.

1.Membe kujivunia rais kuitwa Vasco Da Gama, hili halina mjadala.Inabidi aombe msamaha kwa wananchi wa Tanzania walioathirika na ubeberu wote wa kikoloni.

2.Swala la rais kutembea sana linaweza kujadilika.Nikimtazama Kikwete safari zake mi naona anatia aibu tu.Tafuta clip yake ya MSNBC uTube uone alivyokazania kutaja nchi nyingine wakati yeye rais wa Tanzania anaenda kuiuza Tanzania.Hajaelewa "eight second attention span" ya TV viewers Marekani inabidi mtu anashuka nondo nondo kweli siyo kubangaiza.Tatizo Kikwete hana stature ya kimataifa hata akizunguka anaenda kucheza mdundiko na Boyz To Men na matapeli kama Andrew Younf na Sinclair.Hawezi kupresent case nchi za dunia ya tatu zifutiwe madeni kama Nyerere, au kumtukana Tony Blair huku Blair akimpigia makofi kama alivyofanya Mkapa Commonwealth Heads of Nations Summit Australia 2000.

Rais tunaye, sasa kama appointments zake ndiyo hizi kian Membe, sishangai sana.
 
Mimi kwa mawazo yangu naona Raisi hafanyi vibaya kusafiri kwani nimefuatilia safari zake za marekani na Asia (China, Japan na Korea) vilevile za Europe na nimeona promise nyingi sana kazipata. Huwezi kufanyikiwa kama husafari na nchi yako inategemea wakezezaji wa nje na misaada kwa budget. Raisi anafanya vizuri sana na mimi kwa mawazo yangu ndiyo kitu pekee kizuri nimeona. Hizo pesa si zetu ni za misaada na haina maana asingesafiri hizo pesa zingefanya kitu kingine kwa pesa inatoka kwenye budget na budget inafungu hilo, na budget inasapotiwa na hao wahisani wa nje. Inabidi uelewa kwa undani pesa ya Tanzania inatoka wapi kabla hujaanza kulalamika. Tanzania si USA!

Kamundu,
Pesa ya Tanzania inatoka wapi? Labda mwenzetu utuambie inatoka wapi.

Mawazo kama ya kwako ndio yatatufanya tuendelee kuwa maskini na tegemezi hata miaka 50 ijayo.

Dunia hii hakuna cha free lunch, huwezi kuendesha matanuzi kwa kutegemea misaada ya mjomba.

Hizo safari za JK hazina maana yoyote, hata tukikosa hizo pesa kwa Watanzania wa kawaida hakuna kitakachobadilika maana sehemu kubwa ndio hizo hizo wanazochota mafisadi na kuzirudisha Ulaya.

Nafikiri hata humo hotelini wanamokaa, wanachekwa, maana jamaa wanatanua utafikiri ni akina Bill Gates, kumbe ni akina matonya, omba omba wa dunia, wanaopita kila sehemu kusema watu wao maskini, lakini kila wanchopewa kinaishia kwenye matumbo yao.

Ni aibu tupu kwa nchi huru karibu miaka 50, kusifia kuwa omba omba.
 
Mimi kwa mawazo yangu naona Raisi hafanyi vibaya kusafiri kwani nimefuatilia safari zake za marekani na Asia (China, Japan na Korea) vilevile za Europe na nimeona promise nyingi sana kazipata. Huwezi kufanyikiwa kama husafari na nchi yako inategemea wakezezaji wa nje na misaada kwa budget. Raisi anafanya vizuri sana na mimi kwa mawazo yangu ndiyo kitu pekee kizuri nimeona. Hizo pesa si zetu ni za misaada na haina maana asingesafiri hizo pesa zingefanya kitu kingine kwa pesa inatoka kwenye budget na budget inafungu hilo, na budget inasapotiwa na hao wahisani wa nje. Inabidi uelewa kwa undani pesa ya Tanzania inatoka wapi kabla hujaanza kulalamika. Tanzania si USA!

Mimi naona anafanya vibaya kwa sababu anatumia hela za walipa kodi wetu ambao wengi wao ni mafukara kusafiri na ujumbe mkubwa na kufikia sehemu zinazogharimu hela nyingi (kwa viwango vyetu) kwenda kuomba misaada ambayo faida yake haionekani. Hii misaada inatusaidiaje sisi maana tokea nianze kufuatilia mambo kila siku nasikia tumepewa msaada na huyu na yule lakini wananchi bado wanaishi kwa mlo mmoja kwa siku, barabara mbovu, umeme usio na uhakika, maji machafu, bado tunasumbuliwa na magonjwa kama kichocho na kwashakoo, shule hazina vifaa vinavyohitajika, wagonjwa wanalala chini mahospitalini...sasa hii misaada anayoenda kuomba inasaidia nini? Misaada aliyoomba Nyerere, Mwinyi, na Mkapa mbona yote haikusaidia lolote? Akae nyumbani na kufikiria jinsi ya kutatua matatizo ya nchi. Misaada ya nje haitatatua chochote!!
 
Nashukuru kwa elimu iliyotolewa ambayo inatosha kabisa bila ya kwenda kumuuliza Membe mambo mengine kama nani amemdhamini mkopo au nani kamfundisha kiingereza.Mimi viongozi wa Tanzania wananitia kichefuchefu na hata nikipata nafasi ya kukutana nao huwa navuka upande wa pili wasije kuniambukiza ufisadi bure.

Ndugu Pundit

Nimekuelewa kwa hilo, ila ulinitia wasiwasi kwa kutaka valid and verifiable information wakati vielelezo vipo na ni vile tunavyo vitumia na kuviamini mara nyingi. Kuhusu viongozi wetu wa Tanzania, hao wanaokutia kichefuchefu, wengi wao ni ma-opportunists ingawa kuna wachache wali serious tena hao ni wa kuhesabu, na katika kundi hilo Membe is OUT .

Naomba upate nafasi ya kukutana na Membe kwa five minutes only umsikilize then you will know why we are saying that kutamani kuitwa Vasco Dagama si la ajabu kusemwa na Membe. Wewe waziri mzima unapiga simu long distance kuelezea kuwa umenunua Nissan Patrol na umedhaminiwa mkopo na washikaji mafisadi, kama si ulimbukeni ni nini. Ndiyo maana anatamani kuitwa Vasco Dama and he is very serious.

Anyway nadhani FM ES naye amekuelewa and lets move on!
 
Unajua kuna watu humu walifurahishwa na uteuzi wa Membe...wakammwagia misifa kibaaaooo...ooh eti jamaa kicha..sijui kasoma Johns Hopkins or one of those prestigious Universities....na blah blah nyingine nyingi tu. Sasa nashangaa watu wanamkandia....
 
Back
Top Bottom