Rais Kikwete kama Baba yangu Mzazi...

Rais Kikwete kama Baba yangu Mzazi...

Umemshirikisha mama yako mzazi katika matamanio hayo? Fanya hivyo mkuu huenda ndoto yako ikatimia...

Halafu kuhusu hilo la kuonekana umepiga naye picha pamoja, Adobe Photoshop inaweza kutimiliza hiyo shauku...
 
Nguli, vipi bro, upo?
Siku nyingi ati!...!Kuna mtu juzi Ijumaa kaniulizia habari zako...anakumiss sana!

cc: Preta
 
Last edited by a moderator:
Umefanana naye sura tu au na mambo mengine, kama tabia....n.k??

Just curious....lol!!


Babu DC!!
 
Nguli, vipi bro, upo?
Siku nyingi ati!...!Kuna mtu juzi Ijumaa kaniulizia habari zako...anakumiss sana!

cc: Preta

Nipo kaka mambo vp? msalimie sana Preta nimemiss sana kuna picha nimemuona kapiga na lemutuz kapendeza sana. Tunandaa JF all stars end of year get together nasubiri update from @maxence
 
Last edited by a moderator:
Yeriko anatamani sana awe damu ya Nyerere, ameshindwa ameishia unafiki wa mitandaoni

Tangu lini mwenye akili kama Nyerere akawa chadema??

Wewe ni mpuumbavu wa akili na roho,

Kwani mimi sio damu ya Nyerere? Au ni damu ya sibilisi?

Naitwa Yericko Nyerere, je sio damu ya nyerere?

Ungehoji kuwa na damu ya Julius Nyerere hapo ningekubishia mkuu, baba yangu ni Yohanesy nasio Julius
 
Amina amina.

Sauti ya watu, sauti ya Mungu.

Alichaguliwa na wengi, atabakia kuwa Rais wetu mpaka 2015.

Baada ya hapo ntawaomba watanzania wanichagulie "baba" yangu Eddo Lowassa apokee kijiti toka kwa baba yako NGULI.

Na iwe
 
Hebu muwahi Mwanza,ameelekea Shinyanga,atarudi leo jioni hapa Mwanza.
 
Si unaona kwenye maofisi mengi hasa ya serikali wametundika picha yake?

Si unawezaa ukaenda ukakaa ama kusimama karibu na hiyo picha, halafu ukatachukua mpiga picha akupige picha hapo.
 
nimeingiaje kwenye ombi la mdau huyu?

Mimi ninae Baba yangu mzee Yohanesy Nyerere kwa sasa marehemu, sijui unajisikiaje we bibi mzabizabina?

Ngoja aje THE BIG SHOW ashushe post ulizodai kuwa Nyerere ni kama baba'ko mzazi, exactly the same words kama anazotumia NGULI hapa.

Kisaikolojia, inaonesha kuwa mtoto aliyekosa baba wa kumlea na aliyelelewa na mama pekee ndio huwa katika msongo wa kimawazo wa kutafuta "father figure" katika maisha yake.

Hiyo kitu haijifichi. Nna uhakika nyinyi wote mnaorukia watu mashuhuri (famous) kufikiri kuwa ni baba zenu, mlikosa malezi ya baba na mlilewa na mama pekee. Mnahitaji msaada wa Psychologist na au Psychiatrist kabla haijawaletea madhara makubwa zaidi. Hali kama hiyo mlionayo ikiendelea bila kutibiwa itawafikisha kuwa ma psychopath. Athari zake ni kuweza kudhuru watu au kujidhuru wenyewe au kuchukia wanawake na kupenda wanaume wenzenu. Utamchukia tu mwananamke kwa kuwa mama'ko alikukosesha baba wa kukulea. Poleni sana.
 
Hata Yericko Nyerere alikuwa anaota kuwa Nyerere ni baba'ke. Wazimu uko wa namna nyingi.

kwa mwanamke kumuandama kijana wa kiume namna hii,sio "bure" lazima kutakuwa na jambo linalazimishwa toka kwake ila yeye hataki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom