Jk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Refer Mbeya ...
Jk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Alikuja mwanza kama Rais wa nchi na hakuja mwanza kama mwenyekiti wa CCM, ndo maana hakufanya kama Mkuu wa mkoa alivyotaka iwe.Tatizo ni kwa hawa wenzake na JK wao wanajua kila mahali ni chuki za kipumbavu tu,,ndo maana huwa inafikia sehemu JK anatofautiana nao mbali sana.CCM wenye uelewa wa chini huwa hawajui hata ITIFAKI kila kitu wao wanajua ni sisiemu,sisiemu,sisiemu.Big up JK umewaonesha na wao wafuate, SIASA SIYO UADUI.
Mkuu nimepita mitaa ya Lumumba nimewaona wako kwenye foleni naona walikuwa wanakinga ila walikuwa wanapiga makelele sana! inaonekana project inasuasua na walikuwa wanazinguliwa malipo.
Kikwete anajua kuwa ni rais wa Tanzania nzima;
Anajua wajibu wake kwa Watanzania wote;
Anajua hata maeneo ya Tanzania yanayoongozwa na viongozi wa vyama vya
upinzani maendeleo yake yanatokana na serikali ya Tanzania chini ya ccm.
Jk ni mlezi wa vyama vyote vya siasa ndio mana hata kipindi kile aliwakaribisha akina slaa, mbowe na genge lake walipoomba kwenda kunywa juice ikulu
Jk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Nakupa taarifa tu wewe lumumba project,licha ya kuzomewa alishawahi kupopolewa mawe kama maembe kule mbeya,kama unabisha kamuulize.Jk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Hapo penye red unaweza ukathibitisha?kama mmemchagua mbunge mvuta bangi, sishangai kuona mkimpopoa kwa mawe rais wetu
Teh teh hata huku upo!!
Twenzetu MMU,huku mi huwa nakimbia mada zake nyingi kichwa huwa kinaniuma
Linapokuja suala la kiuongozi jk siku zote ni muungwana
Khaa!! kumbe hata kwenye msafara wa rais kuna mambumbumbu wa siasa. Wewe ulitegemea afanye nini kama mwanasiasa kwa hao waheshimiwa wakati hao ndiyo wanao wawakilisha wananchi wa eneo hilo? Kama hujui hali hii ndiyo ilimpata Mheshimiwa Mbowe kule jimboni kwake na akamsifia Mheshimiwa JK huku mijinga mingine isiyojua siasa za kistaarabu ikidhani Mh. Mbowe alichemka. Tuache ujinga wa kuleta upinzani kwenye maendeleo yetu wenyewe. Tuwe na upinzani kwenye sanduku la kura tu.:whistle:Nimekuwa kwenye msafara wa ziara ya mh.rais kanda ya ziwa,ziara ambaya imemalizika jana na leo rais anarejea jijini dar.
Katika ziara hiyo tumeshuhudia mambo mengi yaliyofanywa na rais lkn mimi nimeibuka na moja kuwa RAIS WETU KIKWETE anaipenda Chadema.Dalili zipo nyingi nitataja chache🙁1) Mkuu wa mkoa Ndikiro alimnyima Wenje(CDM) nafasi ya kuwasalimia wananchi wake wa nyamagana lkn JK alimsimamisha naye Wenje akiwa jukwaa kuu alisalimia waliokuwepo kwa salaam ya makamanda nao wakajb(na jk akiwemo)poweeeeer...(2)JK alitumia muda mwingi kuwasifu HIGHNESS na WENJE (wote wa CDM)kwa jitihada zao kuwaletea maendeleo wapiga kura wao.Kwa sbb hizo na nyinginezo nyingi nashawishika kuamini JK YUPO CCM KIMWILI lkn ROHO YAKE IPO CHADEMA.Wapi Ritz,Zemacopolo,Lizaboni na buk 7 wote? njoo huku haraka nafasi zimebaki chache.