Rais Kikwete anaipenda CHADEMA!

Rais Kikwete anaipenda CHADEMA!

na wale wanaomzomea Kinana anamamlaka gani juu yao?
Khaa!! watakuwa wahuni waliokodiwa au wajinga wasiojua kitu. Kama kuna jambo Kinana kalifanya baya kwa jamii na ikathibitishwa hivyo halafu akapewa madaraka na analindwa asichukuliwe sheria basi wa kumzomea si Kinana bali aliyempa madaraka hayo:whistle:
 
Uko sahihi kabisa. Amekuza demokrasia, uhuru wa habari, uhuru wa kutoa maoni kuruhusu mchakato wa kupata katiba mpya. Jk ni bomba

Ninatangaza rasmi kutomlipa huyu kada njaa wangu buk 7 kwa siku 7wa kumkosea adabu mh.rais na kumwita BOMBA otherwise atengue ilo neno.
 
Nimekuwa kwenye msafara wa ziara ya mh.rais kanda ya ziwa,ziara ambaya imemalizika jana na leo rais anarejea jijini dar.
Katika ziara hiyo tumeshuhudia mambo mengi yaliyofanywa na rais lkn mimi nimeibuka na moja kuwa RAIS WETU KIKWETE anaipenda Chadema.Dalili zipo nyingi nitataja chache🙁1) Mkuu wa mkoa Ndikiro alimnyima Wenje(CDM) nafasi ya kuwasalimia wananchi wake wa nyamagana lkn JK alimsimamisha naye Wenje akiwa jukwaa kuu alisalimia waliokuwepo kwa salaam ya makamanda nao wakajb(na jk akiwemo)poweeeeer...(2)JK alitumia muda mwingi kuwasifu HIGHNESS na WENJE (wote wa CDM)kwa jitihada zao kuwaletea maendeleo wapiga kura wao.Kwa sbb hizo na nyinginezo nyingi nashawishika kuamini JK YUPO CCM KIMWILI lkn ROHO YAKE IPO CHADEMA.Wapi Ritz,Zemacopolo,Lizaboni na buk 7 wote? njoo huku haraka nafasi zimebaki chache.
mtanzania yeyote makini lazima ataipenda Chadema
 
na wale wanaomzomea Kinana anamamlaka gani juu yao?

kaka haya magamba hayana kumbukumbu kabisa, watz wanamzomea kinana bcoz ni haramia na mwizi wa pembe za ndovu na akajifanya kwenda mahakamani lakini hadi leo kesi ilipokuwa haijulikani
 
Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni jukumu lake akiwa kama mkuu wa nchii hii kuonyesha mfano wa kutobaguana.
 
Leo thread nzima wamejitokeza buk 7 wa3 tu,lizaboni(h/b wa nchemba),thatha (cjui nani hyu) na babayai.Wameandika mara kibao,ndo wametumwa kuwakilisha.
 
He is doing what all presidents should be doing, building a nation, not parties, not colors...but a nation
 
Wala hiki si kielelezo kwamba anaipenda CDM. Alichokifanya ni kile amabacho mwanademokrasia yeyote anayetambua uwepo wa vyma vingi angefanya. JK si JN! (Job Ndugai)
 
Nimependa pia pale mkulu wa kaya aliposema kuwa kuwa baadhi ya viongozi wa magamba ni DHAIFU.....yaani ndo kusema kuwa ule ujumbe aliopewa na Mnyika ulimuingia bara bara katika fikra zake mpaka anaufanyia kazi kwa vijana wake, hakika hii ni kama ile nyimbo ya UTAIPENDA....UTAIPENDA.....
 
I wish na wengine waliobaki kwenye chama wangekuwa na busara za kama mwenyekiti wao, mr prezidaa. lazima usome audience yako kabla ya kuongea
 
Nimekuwa kwenye msafara wa ziara ya mh.rais kanda ya ziwa,ziara ambaya imemalizika jana na leo rais anarejea jijini dar.
Katika ziara hiyo tumeshuhudia mambo mengi yaliyofanywa na rais lkn mimi nimeibuka na moja kuwa RAIS WETU KIKWETE anaipenda Chadema.Dalili zipo nyingi nitataja chache🙁1) Mkuu wa mkoa Ndikiro alimnyima Wenje(CDM) nafasi ya kuwasalimia wananchi wake wa nyamagana lkn JK alimsimamisha naye Wenje akiwa jukwaa kuu alisalimia waliokuwepo kwa salaam ya makamanda nao wakajb(na jk akiwemo)poweeeeer...(2)JK alitumia muda mwingi kuwasifu HIGHNESS na WENJE (wote wa CDM)kwa jitihada zao kuwaletea maendeleo wapiga kura wao.Kwa sbb hizo na nyinginezo nyingi nashawishika kuamini JK YUPO CCM KIMWILI lkn ROHO YAKE IPO CHADEMA.Wapi Ritz,Zemacopolo,Lizaboni na buk 7 wote? njoo huku haraka nafasi zimebaki chache.

hivi wewe unaamini raiss niccm pekee raiss kikwete ni wawatazania wote akiwemo mbowe.limbumba. sillaa. nk. hawo wote walimchugua kikwete ili awaongoze!
 
BABA WA (IV) WA TAIFA LA WATANZANIA ANAONYESHA SIASA SAFI NON BIASED WITH THE FACTS hizi ndizo SIASA WALIZONAZO WAKINA MANDELA NA NDIO MAANA WANAFIKIA KUHESHIMIWA KUPINDUKIA mr jk we expect&believe in much more
 
Ritz Lizabon ze marcopolo wako bize leo kwenye kikao kujadili namna mpya ya kusafirisha sembe kwani vijana wao wanakamatwa kila kona ya dunia sasa.

Jamani hivi huu msururu wa supermarkets za Panone ni za nani? Kuna majengo ambayo ni fairly expensive lakini yamejengwa kwenye vituo vya mafuta ambapo wala hakuna makazi ya watu. Fedha hii imetokana na nini? Could it be ni aina fulani ya kutakatisha fedha haramu? Nyingi ya hizi supermarkets zipo barabara ya Moshi-Arusha. Sijui kama ziko na sehemu nyingine.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Muda c mrefu JK atajivua gamba na kuvalishwa gwanda maana li CHADEMA ni bonge la chama kila mtz analiappreciate.
Si hv majuzi pale dom kwenye NEC ya chama cha majangili a.k.a ccm mkulu aliwaweka wazi wenzie kuwa wajiandae kisaikolojia kupokea hbr wasiyoitarajia!? maskini buk 7 lumumba stomach fighters kina zemarcopolo,babayai,lizaboni mtakuwa wapi cku hiyo.
 
Jamani hivi huu msururu wa supermarkets za Panone ni za nani? Kuna majengo ambayo ni fairly expensive lakini yamejengwa kwenye vituo vya mafuta ambapo wala hakuna makazi ya watu. Fedha hii imetokana na nini? Could it be ni aina fulani ya kutakatisha fedha haramu? Nyingi ya hizi supermarkets zipo barabara ya Moshi-Arusha. Sijui kama ziko na sehemu nyingine.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Nikweli ziko arusha moshi road na mosh-dsm road nijuavyo nizajamaa aitwaye Wille.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom