mkunyegere
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 453
- 93
wazalendo siku zote husoma upepo unavyovuma na wao wanaelekea huko,kikwete ni muungwana sana na hana siasa za chuki na maji taka kama wanasiasa wengine
....basi sawaa...mi huku ni nyumbani sema mada zake zikinichangavya naenda mmu kupunguza stressNimehamia siasani kidogo
Nataka nione vijana wanavyojisahau walikotoka.
Mie kwangu ni cc
hapo mmu napita mara moja moja tu.
Tatizo la chadema ni uharamia wao kulisha watu sumu, kuwamwagia tindikali na kupiga askari na hata kuharibu maki za bunge
Nimekuwa kwenye msafara wa ziara ya mh.rais kanda ya ziwa,ziara ambaya imemalizika jana na leo rais anarejea jijini dar.
Katika ziara hiyo tumeshuhudia mambo mengi yaliyofanywa na rais lkn mimi nimeibuka na moja kuwa RAIS WETU KIKWETE anaipenda Chadema.Dalili zipo nyingi nitataja chache🙁1) Mkuu wa mkoa Ndikiro alimnyima Wenje(CDM) nafasi ya kuwasalimia wananchi wake wa nyamagana lkn JK alimsimamisha naye Wenje akiwa jukwaa kuu alisalimia waliokuwepo kwa salaam ya makamanda nao wakajb(na jk akiwemo)poweeeeer...(2)JK alitumia muda mwingi kuwasifu HIGHNESS na WENJE (wote wa CDM)kwa jitihada zao kuwaletea maendeleo wapiga kura wao.Kwa sbb hizo na nyinginezo nyingi nashawishika kuamini JK YUPO CCM KIMWILI lkn ROHO YAKE IPO CHADEMA.Wapi Ritz,Zemacopolo,Lizaboni na buk 7 wote? njoo huku haraka nafasi zimebaki chache.
Huyu ni rais na anapaswa kuwatambua viongozi Wa vyama vyote hasa anapokuwa majomboni mwao.
Ingefaa ungeweka na ushahidi. Usiwe kama Nape na Mwigulu, ambao wanatoa shutuma zisizo na ushahidi.
Mwigulu aliumbuka vibaya sana kwenye 'swaga' zake za 'ugaidi', Unakumbuka ??
Ngoja nikufundishe jinsi ya kuweka ushahidi kwenye hoja..
Angalia hapa chini...
Polisi Tanzania waua mwandishi asiye na hatia huko Iringa...
![]()