Kidonya N.
Member
- Apr 13, 2012
- 80
- 17
Jk bhana!
Ritz Lizabon ze
marcopolo wako bize leo kwenye kikao kujadili namna mpya ya kusafirisha
sembe kwani vijana wao wanakamatwa kila kona ya dunia sasa.
Mbeya tulimpopoa maweJk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Uko sahihi kabisa. Amekuza demokrasia, uhuru wa habari, uhuru wa kutoa maoni kuruhusu mchakato wa kupata katiba mpya. Jk ni bombaLinapokuja suala la kiuongozi jk siku zote ni muungwana
Si mataahira nyie?Mbeya tulimpopoa mawe
Nimekuwa kwenye msafara wa
ziara ya mh.rais kanda ya ziwa,ziara ambaya imemalizika jana na leo
rais anarejea jijini dar.
Katika ziara hiyo tumeshuhudia mambo mengi yaliyofanywa na rais lkn mimi
nimeibuka na moja kuwa RAIS WETU KIKWETE anaipenda Chadema.Dalili zipo
nyingi nitataja chache🙁1) Mkuu wa mkoa Ndikiro alimnyima Wenje(CDM)
nafasi ya kuwasalimia wananchi wake wa nyamagana lkn JK alimsimamisha
naye Wenje akiwa jukwaa kuu alisalimia waliokuwepo kwa salaam ya
makamanda nao wakajb(na jk akiwemo)poweeeeer...(2)JK alitumia muda
mwingi kuwasifu HIGHNESS na WENJE (wote wa CDM)kwa jitihada zao
kuwaletea maendeleo wapiga kura wao.Kwa sbb hizo na nyinginezo nyingi
nashawishika kuamini JK YUPO CCM KIMWILI lkn ROHO YAKE IPO CHADEMA.Wapi
Ritz,Zemacopolo,Lizaboni na buk 7 wote? njoo huku haraka nafasi zimebaki
chache.
sijui una maana gani unavyoandika hivyo? au mnaanzisha mada ili kuchokonoa watu?
Tatizo la chadema ni uharamia wao kulisha watu sumu, kuwamwagia tindikali na kupiga askari na hata kuharibu maki za bunge
Mbeya tulimpopoa mawe
Hatutaki kuchekewachekewa kama mamiss!! huku ni kazi tuuSi mataahira nyie?
Bora Mvuta Bangi kuliko huyo Mbwia Ungakama mmemchagua mbunge mvuta bangi, sishangai kuona mkimpopoa kwa mawe rais wetu
Kikwete ana
angushwa na wakuu wa mikoa na wilaya, pia kitendo cha kuingizwa mafisadi
mwaka 2005 nacho kimemshushia heshima pia!
Hatutaki kuchekewachekewa...
sijui una maana gani unavyoandika hivyo? au mnaanzisha mada ili kuchokonoa watu?
najua mnamkubali sana JK ila ujinga wa dr slaa ndo umewafanya muwe mazezeta
Jk siyo kama SLAA, na wala wananchi hawawezi kuthubutu kumzomea
Slaa ameingiaje hapa. Naona usipomtaja Slaa unakosa hata appetite ya kula!