Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
Sema tu Uislam, ya nini unauma maneno?
Hivi wewe huwezi kutoa comment isiyo na chembechembe za udini? unaboa sana
Sema tu Uislam, ya nini unauma maneno?
Mnyonge mnyongeni sifa zake mpeni
Dah! ng'onda.
Huyo kuliko pweza.
Ndio maana Bi Salma hapo mbio mbio zinamtoka! Performance matters.
mtu wa watu huyu - a true leader.
mbona unapenda sana udini dada, uswahili ndio uislam?
bora mchawi kuliko mnafikiRais wa watu wote,
Hatuji kupata tena rais rafiki kama JK.
Hahahahahah...Mtani wangu siku hizi hizi hata 'habageni', akiambiwa bei yeye anamwaga mapesa..Hahahahaha..haya bana...Njoo pia na kijijini kwangu Nyamikoma basi ili uwaungishe Wasukuma....![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
Wanaume tunanunua vingi tu hatuli sababu unaamini wakila wanafamilia lengo limetimia!!!!
Mzee kila unachopeleka home lazima ule?????!!!
acha kumdhalilisha mama yako hakukufundisha kuandika haya Emma, waheshimu watu waliopewa mamlaka.bora mchawi kuliko mnafiki
Huyu Jamaa Kikwete ni Mpuuzi, na ndiyo anaendeleza Umaskini Nchini kwangu, alipaswa kwanza amuulize huyio muuza Genge kama analipa kodi, alipaswa amwambie huyo muuza genge ampe risiti ili kuonyesha kwamba anachangia kwenye Mapato ya nchi!
Huyu Jamaa sijui tulimtoa wapiiii??? arghhrr
Sawa sawa Sijali hapa shemej anajionea umaskin wa watanzania wenzakeMimi kilichonivuta zaidi ni hali ya babu mwuza samaki. Hata shati lake ni la kuunga-unga!
Hapa lesson kubwa sana kwa wasaidizi wake,Anatafuta sympathy na mjadala ubadilike ili uwe wa kidini. Anyway, Mzee Kikwete kaonesha mfano kwa viongozi wengine ambao shughuli kama hizi za kawaida washazisahau.