Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 610
Hiyo ni image si video utamsikiaje? Na hayo maswali kawaida huulizwa bungeni.
Mkuu kuna image na video. Baada ya kununua samaki, anamshauri muuzaji ahesabu hela ili asije baadae akalalamika huyo Mzee amemhadaa halafu baadae kidogo anampa kitoto hela akisema " hela ya sikukuu". Au umekuruoushwa?