Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,743
- 40,445
NAKUAPIA hatoenda kuwala .
hata walinzi wenyewe watawatupa.
NAKUAPIA hatoenda kuwala .
Usanii tuu!jee aliuliza matatizo ya wavuvi?
mfano mzuri sana, atakuwa rais wa pili kutembea na fedha mfukoni baada ya michel sata. mwezi uliopita obama alishangaza wapita njia baada ya kuonekana akitembea mtaani.
Jamaaa akistaafu akajiunge bongo movie au mjomba band
![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
Nauliza tu mpiga picha alikuwa ndani ya genge? kama ndio inamaansha hii pcha ilipangwa au?
Duh! Nimemwona Raisi wangu akigawia watoto hela, akawaambia ni ya sikukuu! Sawa, lakini amenunua Samaki wa 120,000/= sikumsikia akiulizia changamoto wapatazo wavuvi au wachuuzi. Ila nimekujua anafahamu Samaki watamu!