Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

:angry::angry: HUO NI UTAPELI WA KIFIKRA TU KWA WANANCHI,ANATAKA KUJIFANYA PIA NI MZALENDO SANA NAYE ANAISHI MAISHA YA KAWAIDA ,ANANUNUA VITU MAGENGENI? WAO NAWAENDELEE NA MAISHA YA ANASA KWA AJILI YA KODI ZA WALALAHOI,HUKU WAKIPUUZA VIPAUMBELE VYA MSINGI KABISA KWA AJILI YA KUWAKWAMIA MASKINI WA KUTUPA AMBAO HAWAJUI KESHO HATA MLO MMOJA UTAPATIKANAJE!
 
Hivi mkuu wa mji huwa anatembea na noti, au ilikuwa kwa ajiri ya photo-op?
Na mbona kila mtu anatoa zake?
 
Mbona hanegotiate,pia hata nyongeza haombi maana kapiga shopping kubwa
 
CV yake unaijuwa au unahororoja tu? Hajawa mwalimu wa shule huyo wala mwandishi wa habari. Kama waliomtangulia. He was born a leader.

Hakika..!! He was born a leader katika 'fani' ya kupiga picha na 'vimwana'...!!

images


Ray-C-1.png
 
Mkuu kwani kwenye hiyo picha jk anaonekana anawaleti??? una ushahidi gani kama rais alikuwa na hela mfukoni???
 
rais dr. kikwete ni rais bora sana. Naweza kumfananisha sana na prof. Tibaijuka katika kuchapa kazi za watanzania na kuwaletea maendeleo watanzania

Kuchapa kazi..??

Angalia 'kazi' alizochapa..!!

Elimu yetu....

3.jpg


Barabara zetu....

images


Hospitali zetu....
images
 
Acheni wivu, sote tunajua Rais wa nchi ana wapishi wake, wanunua misosi, waonja chakula, wasafisha viatu etc. Ile kununua ni lobbying tu, akitaka kula samaki wanaopatikana say japan mtu atapanda ndege na kwenda kuwaleta. Amefanya kwaajili ya hao wa kijijini sasa nyi wambea wamjini mmeshikia kidedea. Acheni amalizie muda wake. Unafikiri yule babu na pale kijijini watasahau! Mision acomplished! Lol
 
Ni sanaa hii!!! Kaingia kazini rasmi, sijui hiyo tamthiliya itapewa jina gani
mimi naona ni jambo jema alilofanya rahisi, nikuonyesha kuwa yuko karibu na wananchi. ila ingenoga zaidi kama angeomba apunguziwe bei. kuliko kuambiwa bei na kulipa mara moja.
 
Back
Top Bottom