Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Kwa staili hii dah, maendeleo yatakuwa magumu kupatikana, yani Rais msanii, mawaziri wasanii. Mbona haendi kariakoo kwenye kibanda kama hicho ambapo watumishi wake na Mkurugenzi wanavamia kila siku tena usiku kubomoa vibanda vyao. Leo eti amekuwa mteja.
 
Mh. Kikwete ni mtu wa kawaida saaannnaaaa. Kinacho mponza ni chama chake. Na anaogopa sana akina Mkapa na Ali hassani kwa kuwa hawa walikuwa ni mabosi wake. Lakini kuwa ni binaadamu, ni mtu mwema tu.

Sio kweli kuwa Kikwete ni mtu wa kawaida anafanya maigizo tu; angekuwa mtu wa kawaida angejali maisha na maslahi ya watu wa chini kwa kuwathibiti wala rushwa na mafisadi!! Badala ya kuwathibiti wahalifu yeye anawalinda kama alivyowafanyia wahindi wezi wa EPA!!
 
Dah! ng'onda.

Huyo kuliko pweza.

Ndio maana Bi Salma hapo mbio mbio zinamtoka! Performance matters.

Tatizo watu wengine hawaelewi tabia za watu wa pwani.Jamaa kaona ng'onda mate yamemtoka urais kaweka pembeni,pale ni ataungwa na futari ya muhogo.
 
Back
Top Bottom