Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

Rais Kikwete akinunua samaki gengeni

ngoja aache uraisi mtamuona anaenda kwenye muziki wa bunyero bunyero na vigodoro,tusubiri tu
 
Safi sana na wenine waige mfano wake kwa huo ndio uzalendo wa kujiona kuwa na wewe ni mtu miongoni mwa watu, na sio Mungu miongoni mwa watu.
 
Cha ajabu kipi? Watanzania wengi tunafanya shopping gengeni? Au JK siyo mtanzania?
 
Kawapenda samaki wakavu. Nyerere alikuwa anapenda sana vitumbua. amekula sana pale msasani. muulizeni makongoro.
 
Hahahahh nmecheka sana.huyu jamaa kwa mbwembwe!!!!akanywe na mnazi basi uno pangani !!!hao samaki hats hawali yeye atawagawa tu.presder hali io misosi.mbwembwe tu .misosi yake ishaandaliwa na ipo ishaonjwa
 
mfano mzuri sana, atakuwa rais wa pili kutembea na fedha mfukoni baada ya michel sata. mwezi uliopita obama alishangaza wapita njia baada ya kuonekana akitembea mtaani.

Mnyonge mnyongeni sifa zake mpeni

Huwezi kutoa sifa kwa tabia isiyo na maana kama hii. Kama ni kuchangayika na wananchi hakuna anayemzidi Idd Amin.

Idd Amini alicheza ngumi, alishindana kuogelea, alishiriki riadha, nk. sema wewe mwenyewe aliishia wapi kichaa huyo?
 
Huwezi kutoa sifa kwa tabia isiyo na maana kama hii. Kama ni kuchangayika na wananchi hakuna anayemzidi Idd Amin.

Idd Amini alicheza ngumi, alishindana kuogelea, alishiriki riadha, nk. sema wewe mwenyewe aliishia wapi kichaa huyo?

Kila binadamu anamapungufu yake..Kila binadamu ana-mabaya na mazuri yake-Ikiwa hivyo basi palipo na sifa toa sifa-panapo stahili kukosoa kosoa,lakini ikiwa binadamu kila anachofanya mtu fulani kwako sio kizuri basi is what so called "CHUKI BINAFSI"..... Mimi binafsi naona jambo hili ni kubwa sana kwa mtu mwenye cheo cha Raisi kupita mtaani na kununua vitu gengeni kusalimia na raia wa kawaida.
 
Safi sana obama wetu ea bongo katiza na uwanja wa fisi uone nchi nyingine Katika Tanzania
 
ukitaka kujua africa kuna amani angalia hiyo video, anatanua tu kitaa bila wasiwasi na security yenyewe hiyo...
baadhi ya marais wa nchi flani hawawezi kutembea hivo kingekua kishaumana mapema.. wao wanasakuliwa 24/7
 
Back
Top Bottom