Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,932
Hawana matatizo ndio maana samaki wanapatikana gengeni.[/QUOTE
akili nyepesi!!
Akili nyepesi ina maana gani? Decisive?
Hawana matatizo ndio maana samaki wanapatikana gengeni.[/QUOTE
akili nyepesi!!
Akili nyepesi ina maana gani? Decisive?
Hawana matatizo ndio maana samaki wanapatikana gengeni.[/QUOTE
akili nyepesi!!
Hivi wewe ndugu, kila muuza samaki kwako ni mvuvi? Huyo jamaa gengeni ana bidhaa kibao kwa hiyo yeye ni mzalishaji wa hizo bidhaa zote? Wale akina mama wauza samaki ni wavuvi? Muda huo JK anapita hapo wavuvi watakuwa aidha wamelala au wanaandaa nyavu na vifaa vingine vya kuvulia, nasema haya kutokana na uzoefu sio wa kuvua bali kuishi kando ya maziwa makubwa hapa Tanzania.
![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
mkuu kuna watu humu jamvini fikra zao hata mbuzi ana nafuu, hawajiulizi si wadadisi hata.Hivi wewe ndugu, kila muuza samaki kwako ni mvuvi? Huyo jamaa gengeni ana bidhaa kibao kwa hiyo yeye ni mzalishaji wa hizo bidhaa zote? Wale akina mama wauza samaki ni wavuvi? Muda huo JK anapita hapo wavuvi watakuwa aidha wamelala au wanaandaa nyavu na vifaa vingine vya kuvulia, nasema haya kutokana na uzoefu sio wa kuvua bali kuishi kando ya maziwa makubwa hapa Tanzania.