TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 376
Anawapenda hao samaki kiasi kwamba haamini hata wasaidizi wake,yes maana akiwatuma watachakachua-hawataleta aina ya samaki anayoitaka yeye-This is another THT productHii nimeipenda kwani sioni ubaya kwa Rais kununua samaki gengeni kwani nae ni mtu mwenye mapenzi na vitu fulani pamoja na yote(Madaraka, Itifaki, Siasa, Mitazamo ya watu ).
Kuna watu naowafahamu ambao wako Marekani na wamewahi kurudi Tanzania kuja kutafuta migebuka na ugali wa muhogo walivyovikumbuka baada ya kuvikosa huko kwa muda mrefu pamoja na Burgers, Tacos, Lamb chops, na pizza, wanazokula huko Marekani.
Huwezi kujua upenzi wake kwa samaki aliemfuata hapo gengeni, sioni sababu ya kupiga kelele kuhusiana na kitu kidogo kama hicho.
Huwezi kutoa sifa kwa tabia isiyo na maana kama hii. Kama ni kuchangayika na wananchi hakuna anayemzidi Idd Amin.
Idd Amini alicheza ngumi, alishindana kuogelea, alishiriki riadha, nk. sema wewe mwenyewe aliishia wapi kichaa huyo?
Unajua hobi lakini au chuki kama umekwamwa na mwiba wa huyo samaki???!!
kiasi mlichojengewa uaminifu mdogo na ccm hata rais anaonekana ni zaid ya yesu kristo hata zaidi ya mtume muhamad
Huwezi kutoa sifa kwa tabia isiyo na maana kama hii. Kama ni kuchangayika na wananchi hakuna anayemzidi Idd Amin.
Idd Amini alicheza ngumi, alishindana kuogelea, alishiriki riadha, nk. sema wewe mwenyewe aliishia wapi kichaa huyo?
![]()
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. (picha: Freddy Maro/Ikulu).
Halafu yeye kununua ng'onda tu mpaka aende na shooters? au alikuwa location anashoot movie?
Hapa lesson kubwa sana kwa wasaidizi wake,
hawa samaki nani anapima ubora wake? yeye amezoea mikuku kutoka ulaya mbona hajawahi kununua kigamboni wakati akitoka nje tu anaweza kuita samakiiii wakaitika na kumletea