Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Hujaelewa nini?

Kagame kasafiri sana kapata Sana,√
Sisi Rais anasafari 9 tu kelele zimeanza eti anapoteza|anafuja pesa,

Ndio nawapa mfano ili wajue ukiona nchi inafunguka kama Rwanda ujue Rais anachacharika all over the world,


MNAOLALAMIKA HUU MFANO UWASAIDIE KUONA UMUHIMU WA ZIARA NJE ZA RAIS,
___________________________________
Ukiachia mbali ulinganifu wa 59 kwa 9 huo ni ujinga wa kupindukia.

Unasema PK kwa mwaka huo ni 59 na bimkubwa hata mwaka hana ana safari 9, sasa unalinganisha kitu gani ?.
 
HUIJUI RWANDA YA SASA NADHANI
_____________________________________

rekodi zinaoneaha ndio nchi yenye usalama zaidi Africa,

rekodi zinaonesha ndio nchi yenye gharama ndogo za umeme|tarrif E. Africa,

rekodi zinaonesha ndio nchi nzuri kwa uwekezaji Africa Mash,

rekodi zinaonesha ni nchi ambao uchumi wake unakua kwa kasi Africa Tanzania haipo,

Rwanda imefunguka kimataifa zaidi ya Tanzania kwa Sasa,

NIMATOKEA YA ZIARA ZA KAGAME


_____________________________________
Ww jamaa usifanaishe Tanzania na Rwanda? Tanzania kamwe haiwezi kufuata nyayo za Rwanda km mfano.

Acha upotoshaji
 
Mko hoi bin taaban,na jeshi la JPM likipata chama cha upinzani makini huyo bibi asubuhi na mapema anapigwa asubuhi,watu wengi wanaamini bibi na timu msoga ndo wamemuua JPM,sasa hii ikitumiwa vizuri bibi hana chake
Mimi sikuwahi kumpinga JPM na sitompinga....

JPM alikuwa ni mwenyekiti wetu tuliyemtii kama tunavyomtii huyu wa Sasa na wa miaka mingi ijayo ,aaamin!!!

Huwezi kumhukumu JPM kwani yako mengi mno mazuri ametufanyia na LEGACY ameiacha......

Hilo "Jeshi" usemalo labda liko nje ya CCM....ndani ya CCM yanapokuja maslahi mapana ya CHAMA NA NCHI huwa tuko kitu kimoja DAIMA DUMU.....

Mkuu usijidanganye kaka....

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA amen 🙏

#NchiKwanza
 
Screenshot_20210914-184646.png
 
Kwahiyo PK ndio standard mnayotumia kulinganisha mambo ya uongozi? Tanzania ni nchi tofauti na Rwanda. Usiwabeze hawa watanzania ambao wanapevuka kila uchao kuhusu mustakabali wa nchi yao, kwa kutoa mifano ambayo ni irerevant.
Rais kusafiri kuna sababu za umuhimu. Ni bora kutoa elimu kwa wanaohoji kuliko kutoa hii mifano mfu
hiyo itakuwa ni CCM standard of practice
 
Safar za kila mala kwenda na kurud zitamchosha bora akae uko uko ata mwaka mmoja poa tu, yaan awe anaunganisha nchi moja had nyingine akimaliza ndo aje mazima.

Kwa kipindi kifupi sana Cha hizi safar zake, uenda amejifunza kupata hela za kuendesha nchi kupitia tozo za miamala, tozo za majengo, sukar kupanda, mafuta ya kula kupanda n.k. Kaz iendeleee tu hakuna mwenye wivu nae
 
Nikupe faida chache za baadhi ya safari tisa za Rais Samia ,

Alipokwenda Uganda alienda kubatilisha Mkataba wa bomba la mafuta uliokuwa unaendelea baina ya Rais Museni na Rais Uhuru Kenyatta na akafanikiwa kuurudisha mikononi mwetu,

1.Mradi huu wa bomba la mafuta unathamani ya $15BL karibu Tshs 33trl hizi pesa kwa kiasi kikubwa zitawanufaisha Watanzani,

2. Mradi huu utaajiri watu elfu 10

3. Tanzania itapata gawio katika kila pipa la mafuta likalosafirishwa,

HII NI SAFARI MOJA TU YA RAIS SAMIA

_____________________________________
Safar za kila mala kwenda na kurud zitamchosha bora akae uko uko ata mwaka mmoja poa tu, yaan awe anaunganisha nchi moja had nyingine akimaliza ndo aje mazima.

Kwa kipindi kifupi sana Cha hizi safar zake, uenda amejifunza kupata hela za kuendesha nchi kupitia tozo za miamala, tozo za majengo, sukar kupanda, mafuta ya kula kupanda n.k. Kaz iendeleee tu hakuna mwenye wivu nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom