CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,980
- 4,075
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...
rdb.rw
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA