kisa kalalia jiwe?
Tanzania ni moja ya nchi rahisi kuongoza duniani.Mpo kwenye janga zitto alaf mtu analeta picha za mkuu wa nchi akila bata kwenye mawe.Aliyeleta hiz picha hajamtendea haki mkuu wa nchi kwa wananchi wakati viongoz wenzetu nchi zilizzoendelea wakihangaika na kulia kwa janga hilli eti mtu kwa ulevi wa kujipendekeza analeta picha za furaha kwa rais,haiko sawa kabisa kwa maoni yanguMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda yakupasa kukaa kimya na kusoma watu walichoandika
Hivi wewe una uchungu na mtu mwingine kuliko wazazi wako
Rais ni taasisi sio mtu, Akiwa Dodoma sema taasisi ipo Dodoma,
Hata mawasiliano ya taasisi yanasema kurugenzi ya Ikulu
Mkuu wapi uliona barua zinaandikwa "Rais Magufuli" zinaandikwa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama taasisi
Mtakuja kufa kwa kujaza chuki vifuani, Wewe ni moja ya watu mnaoitafuta presha kwa kujaa chuki
Hapo anakupa ujumbe kuwa, hata katika kipindi kama hiki ni muhimu kupunguza hofu kuu. Mwenye huu ulimwengu yupo kazini , ingawa tunalojukumu la kufanya yaliyo ndani ya uwezo wetu pia. Mengine tunaweka mikononi mwake.Waziri mkuu wa australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni moja ya nchi rahisi kuongoza duniani.Mpo kwenye janga zitto alaf mtu analeta picha za mkuu wa nchi akila bata kwenye mawe.Aliyeleta hiz picha hajamtendea haki mkuu wa nchi kwa wananchi wakati viongoz wenzetu nchi zilizzoendelea wakihangaika na kulia kwa janga hilli eti mtu kwa ulevi wa kujipendekeza analeta picha za furaha kwa rais,haiko sawa kabisa kwa maoni yangu
Katupia Brand yenyewe Adidas.Kama heading inavosema
Mwenye wivu any we sumu akufe
View attachment 1397193View attachment 1397194
Sent using Jamii Forums mobile app
watoto wadogo kutoka facebook na instagram wamevamia jukwaa
sijui nirudi kijijini? Too hard to maintain 2m social distance mujini.
Vip ulisikia naumwa mkuu?lolHaya mkuu... tunashukuru kama uko poa...
020 hakuna shujaa mwingine zaidi ya huyu