Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,052
- 9,847
Tupe "link" tukasome wenyewe.
What are you trying to defending?Ni lini mzee alisema hakuna korona? Kwa siku za hivi karibuni? Acheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Kuna sheria inakuruhusu kujipatia kitambulisho cha mzanzibari, nimesahau inasemaje kuhusu muda wa kukaa apa otherwise upate sheha poa akuandikisheNinawezaje kuwa Mzanzibari chilubi
Nahama TanganyikaKuna sheria inakuruhusu kujipatia kitambulisho cha mzanzibari, nimesahau inasemaje kuhusu muda wa kukaa apa otherwise upate sheha poa akuandikishe
Tanzania haina bahati,imagine angekuwa raisi wa tzbara kila mtu angekuwa na mapenzi na nchi yake..for the first time in my whole life nampenda na kumshabikia kiongozi wa ccm...akigombea huku nitatumia damu sio wino kumpigia kura.. Otherwise mpinzani wake awe Tundulisu hapo labda...Hussein Ally Mwinyi alistahili kuwa Rais wa Tanzania, sio huyu.
Mbona nchi za wenzetu chanjo ni bure kwa wananchiWatu wasichoelewa ni kuwa hizo chanjo hazigaiwi bure unalipia.
Jiwe anaokoa hela aendelee kujenga madaraja yake na sio kama hajui kama kuna tatizo.
Ni lini mzee alisema hakuna korona? Kwa siku za hivi karibuni? Acheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Ukiisikiliza clip aliyosema na uliyoandika wewe ni vitu viwili tofauti. Hakuna mahali amesema tahadhari za lazima sasa zichukuliwe. Acha upotoshajiRais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.
Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.
======
Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.
Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."
Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
MmmhWATU WOTE MNAOTAKA SOURCE NI DW. na ametoa kauli hiyo ktk ibada ya mchana leo Zanzibar.
Kuanzia Mwinyi senior mpaka huyu wa sasa hawakustahili kuwa ni kwavile system ina matunduHussein Ally Mwinyi alistahili kuwa Rais wa Tanzania, sio huyu.
Kuna watu wame chanjwa na bado wamekufa kwa covid, niko kwenye sekta ya utalii Zanzibar toka mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo, siamin kama sijawahi kupata corona, nahisi nimepata zaidi ya mara moja sema sijui tu ila naishi na wenzangu wanaugua na wanapona na wengine tunalala room moja, juzi hapa mmoja amepata mafua makali na hewa kubana amejifukiza sana mpaka mwisho ameenda kununua ugoro ili apige chafya apate unafuu, siku hizi mbili anaonekana ana nafuu, mwingine niko nae mpaka sasa kalala kitanda cha pili, anasema anajisikia ovyo sana anatafuna tangawizi na malimao kama hana akili nzuri, namwombea awe poa, Mungu atulinde sio siri corona ipo, tujilindeHaujielewi wewe.
Kwani chanjo ndo dawa ya corona?
Watu wengine wanashida sana, nashangaa mpaka watu wenye akili zao kama Maria Sarungi wanasema eti Rais hajatangaza, sijui wanataka afanye ziara majumbani kwao awaambie wao na familia zao tu.Ni lini mzee alisema hakuna korona? Kwa siku za hivi karibuni? Acheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Sasa kama wameweza idhibiti, wanadhibitije kitu kisichokuwepo?? Mfano unasema umedhibiti samaki jangwani lazima watu wakuone punguani maana jangwani hakai samaki.Wewe acha uwongo, leo msemaji wa serikali amtangaza rasmi kuwa Tanzania imeweza kuidhibiti corona, sasa wewe na msemaji wa serikali nani mkweli
Duuh hii ngumu kumeza japo sishangai maana Norway kuna mtu alipigwa chanjo ndani ya nusu saa kakata moto.Kuna watu wame chanjwa na bado wamekufa kwa covid, niko kwenye sekta ya utalii Zanzibar toka mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo, siamin kama sijawahi kupata corona, nahisi nimepata zaidi ya mara moja sema sijui tu ila naishi na wenzangu wanaugua na wanapona na wengine tunalala room moja, juzi hapa mmoja amepata mafua makali na hewa kubana amejifukiza sana mpaka mwisho ameenda kununua ugoro ili apige chafya apate unafuu, siku hizi mbili anaonekana ana nafuu, mwingine niko nae mpaka sasa kalala kitanda cha pili, anasema anajisikia ovyo sana anatafuna tangawizi na malimao kama hana akili nzuri, namwombea awe poa, Mungu atulinde sio siri corona ipo, tujilinde