Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Mwinyi will end up in Zanzibar and he won't be given an opportunity to be statesman of teh United Republic of Tanzania due to his indirect message delivery to the audience. He is currently being applauded in Zanzibar but time is very close when he start experiencing the harcore political challenges.

He has to act very carefully before his profile is husked by extremists. towards aspiring to vie for URT presidency if he plans doing so.
 
Mkuu hebu nifafanulie njia gani iliyotumiwa na Tanzania kujilinda na covid tofauti kabisa na mataifa mengine ya ulimwengu.Maana sisi ndo wananchi tupo mitaani hatuoni hatua za kisayansi zikitumika maana kwenye madaladala watu wanajazana na masokoni au mikusanyiko yote iliendelea na inaendelea.

Tafadhali nijuze hizo taadhari zilizochukuliwa maana kila siku tunaambiwa tuchape kazi corona haipo ni changamoto ya upumuaji tu.
''Asiyejua maana haambiwi maana.''
 
Maneno yote hayo ni kuzuia watu wasihoji? imetumika sayansi kutengeneza hiyo chanjo na watu wanahoji wanataka maelezo ya kisayansi sasa tatizo liko wapi hapo?

Yani wewe wa ajabu sana et hutaki watu wahoji.

We jamaa sayansi hatuhoji kwa maneno,ndio maana wakileta vitu vyao hapa maabara ya Taifa inachunguza au Unadhani TBS wanafanya mambo kwa kuhoji? Wanafanya kwa vitendo ili kujua ni bora au la!!

Mfumo wa Elimu wa nchi hii umekuaribu vibaya

Hivi wewe ni kabila gani?
 
Ni lini mzee alisema hakuna korona? Kwa siku za hivi karibuni? Acheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Lete kideo huyu mzee wako akikili kua kuna corona tuliyoishinda kwa siku tatu
 
We jamaa sayansi hatuhoji kwa maneno,ndio maana wakileta vitu vyao hapa maabara ya Taifa inachunguza au Unadhani TBS wanafanya mambo kwa kuhoji? Wanafanya kwa vitendo ili kujua ni bora au la!!

Mfumo wa Elimu wa nchi hii umekuaribu vibaya

Hivi wewe ni kabila gani?
Mimi nazungumzia kuhoji jambo la kawaida kabisa ila wewe unazungumzia masuala ya kuingia maabara,sasa kila mtu ataingia maabara? Mtu unahitaji maelezo kuhusiana na hiyo chanjo ila wewe hutaki et yatolewe maelezo unataka waingie maabara.
Mbona unashangaza! ni suala tu la kujibu maswali ya kisayansi kutoka kwenye maswali ya kisayansi basi,sasa zaidi ya hapo ndio tutaingia maabara ila hutaki kujibu maswali tu unaleta habari za maabara.

Hivi wewe unajua kwamba pamoja na kuwepo hizo maabara ila bado wana sayansi kuna mambo wanatofautiana na ni mambo ya kisayansi?
 
Rais wa Zanzibar leo ametangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe.

Kauli hii ni ya kwanza kutolewa na kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauli zinazotolewa na Rais Magufuli.

======

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi akiwa katika ibada ya Ijumaa katika msikiti wa Mfereji wa Wima amedokeza kuhusu kuwapo kwa gonjwa la Corona katika Kisiwa hicho.

Akiongea na Waumini baada ya swala ya ijumaa Dkt. Mwinyi amesema "Ndugu zangu tumekabiliwa na tatizo hili la ugonjwa wa Covid ulioathiri afya lakini pia umeathiri uchumi wa nchi yetu. Lakini Alhamudulillah muelekeo unaonekana ugonjwa huu unapungua na Insha Allah kwa dua zetu sote utakwisha na In Shaa Allah uchumi wetu utarudi katika hali ya kawaida na utaongezeka zaidi."

Zaidi ya hayo, Dkt. Mwinyi ameshukuru Viongozi wa msikiti kumpa nafasi ya kuongea
Kama kweli alitamka hivi basi ujue yeye na Pombe wameanza kuchokana
 
Mimi nazungumzia kuhoji jambo la kawaida kabisa ila wewe unazungumzia masuala ya kuingia maabara,sasa kila mtu ataingia maabara? Mtu unahitaji maelezo kuhusiana na hiyo chanjo ila wewe hutaki et yatolewe maelezo unataka waingie maabara.
Mbona unashangaza! ni suala tu la kujibu maswali ya kisayansi kutoka kwenye maswali ya kisayansi basi,sasa zaidi ya hapo ndio tutaingia maabara ila hutaki kujibu maswali tu unaleta habari za maabara.

Hivi wewe unajua kwamba pamoja na kuwepo hizo maabara ila bado wana sayansi kuna mambo wanatofautiana na ni mambo ya kisayansi?

 
Simply ameongea kuhusu zanzibar kama nchi anayoiongoza hakuhusisha issue za muungano. Mind you kuna wizara/mambo/vitu sio vya kimuungano.
 
Yaaani unashindwa kuelewa kuwa raisi wa Zanzibar ni mjumbe halali wa baraza la mawaziri la jamuhuri ya muungano ambacho ndicho chombo kikuu cha kumshauri raisi wa jamuhuri ya muungano
Mind you ameongea kama Rais wa zanzibar na ameiongelea zanziba lr sio Tanzania na kuna mambo yasio ya kimuungano ambayo zanzibar inaya handle kama nchi kamili.
 
Back
Top Bottom