Rais Hussein Mwinyi: Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa Corona

raisi wa Zanzibar Leo amtangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe


Kauri hii ni yakwanza kutolewa na Kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauri zinazotolewa Na raisi magufuli.

SASA KWA WALE MATAGA WA JOKA KUU CCM AMBAO WAO KILA KITU NI NDIO, JE NA MWINYI KATUMWA NA MABEBERU?
Hongera Rais Mwinyi' agiza chanjo,wataalamu wakithibitisha zinafaa,chanja watu wako. Zanzibar huru,nchi huru.

Mungu akuzidishie maisha marefu kwa kuchukua hatua za kutekeleza kiapo chako" KULINDA MAISHA YA WAZNAZIBARI"
 
Ni lini mzee alisema hakuna korona?kwa siku za hivi karibuni? A cheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Tafadhari inayotangazwa ni changamoto ya magonjwa ya kupumua siyo corona. Unaelewa matamko kabla hujawabishia watu wenye akili.
 
Ni lini mzee alisema hakuna korona?kwa siku za hivi karibuni? A cheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Akifanya hivyo itasaidia sana na atakuwa ni Rais wa mfano duniani. Hata Yesu aliwaosha miguu wanafunzi wake. Hivyo hata kuwa wa kwanza kufanya hivyo🤣🤣🤣🤣
 
Ni lini mzee alisema hakuna korona?kwa siku za hivi karibuni? A cheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...
Amakweli wewe ni LULU ,tuliambiwa tuchukue tahadhali dhidi ya CHANGAMOTO YA KUPUMUA.
 
watu wasichoelewa ni kuwa hizo chanjo hazigaiwi bure unalipia

jiwe anaokoa hela aendelee kujenga madaraja yake na sio km hajui km kuna tatizo
Siku corona ikiingia kule kwetu ndiyo tutaelewana
 
Ni lini mzee alisema hakuna korona?kwa siku za hivi karibuni? A cheni ushabiki maandazi..nashangaa MTU anakazana kusema hakuna Corona wakati imeshatangazwa tuchukue tahadhari labda mzee awe anakuja kuwavalisha barakoa na kunawa mikono asubuhi na mchana ndio mtaridhika...

Lini amesema kuna corona? Ama unadhani kauli zake hazifahamiki? Baada ya watu wengi kuweka wazi kuhusu huu ugonjwa hasa viongozi wa dini, ndio mnajifanya kujiingiza na vilugha lugha vyenu eti kuna siku amekataa?
 
Unajua kuna watu wao wanachotaka ni kusikia tu serikali imekiri kuwa kuna corona kwao huo ni ushindi,sasa huko ZNZ juzi tu kwenye mazishi ya Maalim Seifu watu walikusanyana kama kama dunia haina corona vile hakukuwa na tahadhari zozote ina maana serikali haikuwa ikijua kama kuna corona?
 
Dr Mwinyi achukue hatua zaidi, apate chanjo ya sputnik V, ni salama zaidi na inauhakika by Putin!
 
raisi wa Zanzibar Leo amtangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe


Kauri hii ni yakwanza kutolewa na Kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauri zinazotolewa Na raisi magufuli.

SASA KWA WALE MATAGA WA JOKA KUU CCM AMBAO WAO KILA KITU NI NDIO, JE NA MWINYI KATUMWA NA MABEBERU?

Mwinyi anajielewa...kashaona life is too short.
 
Mkuu umeandika haraka kama upo UCHI. Pili Mwinyi sio kiongozi wa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tatu inabid umtafute Honi Sigara ujifunze kiswahili kidogo.

Yaaani unashindwa kuelewa kuwa raisi wa Zanzibar ni mjumbe halali wa baraza la mawaziri la jamuhuri ya muungano ambacho ndicho chombo kikuu cha kumshauri raisi wa jamuhuri ya muungano
 
Back
Top Bottom