Kiguturi Nyamili
Member
- Oct 27, 2020
- 65
- 74
Hongera Rais Mwinyi' agiza chanjo,wataalamu wakithibitisha zinafaa,chanja watu wako. Zanzibar huru,nchi huru.raisi wa Zanzibar Leo amtangaza rasmi kuwa Zanzibar inakabiliwa na ugonjwa wa korona na ametaka taadhari za lazima sasa zichukuliwe
Kauri hii ni yakwanza kutolewa na Kiongozi wa juu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia ni tofauti kabisa na kauri zinazotolewa Na raisi magufuli.
SASA KWA WALE MATAGA WA JOKA KUU CCM AMBAO WAO KILA KITU NI NDIO, JE NA MWINYI KATUMWA NA MABEBERU?
Mungu akuzidishie maisha marefu kwa kuchukua hatua za kutekeleza kiapo chako" KULINDA MAISHA YA WAZNAZIBARI"