MsamiKowalski
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 285
- 56
Wanafunzi wa ifm awana hostel bora wakapewe vyumba kule hapa kazi tuu.!
Mkuu, ah! hilo nalo nenoo...
Wanafunzi wa ifm awana hostel bora wakapewe vyumba kule hapa kazi tuu.!
Umeona hahahaHueleweki mtanzania mkenya maana umekaa neutral, ukisikia mazuri ya Kenya unakuwa mkenya, ukiona zuri la huku unakuwa Mtz, hebu simama sehemu moja maana sisi Dual citizen
I've seen that too...mpk sshv Magufuli anatekeleza ilani ya Ukawa, cjaona akitekeleza ilan ya ccm labda anahis he has somthng to pruv!!
Hongera kwa kuniita nyumbu, maana ni kivumishi, ila itanisaidia kufika mapema dodoma kutoka mkoa ninaoishi
Atakuwa ndio yule aliyezaliwa kenya na dodoma siku moja.Sijui anataka afanyiwe nn ndio alizike.Hueleweki mtanzania mkenya maana umekaa neutral, ukisikia mazuri ya Kenya unakuwa mkenya, ukiona zuri la huku unakuwa Mtz, hebu simama sehemu moja maana sisi Dual citizen
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
Kwani jf ni ya dar tu? Hata dom wapo, ila dar ndo jiji la kibiashara tz.wizara ya fedha no iwe ya kwanza kuondoka muda mwingi wako dodoma kwenye budget huko dar wanafanya nini? Jinsia na watoto ibaki dar huko ndo watoto wako wengi wengine wanashinda humu jf hawana kazi.
na bado #hapasifa tuSasa hii sifa
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
Ikulu ndogo ya Chamwino imeanza kufanyiwa Usafi tayari Kumpokea Rais Magufuli. Inasemekana hata Waziri Mkuu ataapishwa katika hii Ikulu ndogo ya Chamwino.
Shughuli nyingi za Rais, zitafanyika kutokea kwenye hii Ikulu.
Wazo zuri lakini nahisi utekelezaji wake kwa sasa ni mgumu mno.
Akihama yeye lazima wizara zote zihamie Dodoma. Maana yake kutahitajika pesa nyingi sana. Anahitaji pesa hizo kwenye elimu, afya na miundombinu.
Sababu za kitanzania hizi.WE MUST START NOW.
Kama ni kweli, huo nao utakuwa ni ukurupukaji na sioni akifanikiwa katika hilo.
Dodoma haiko tayari kuwa mji mkuu wa nchi.
Nilikuwa Dodoma mwaka jana. Dodoma ipo tayari kuwapokea Wageni wote wakihamia hapo.
Bunge tayari lipo Dodoma. Ikulu ya Chamwino ipo tayari na salama sana.
Ofisi kubwa sana ya Bunge ipo tayari.
Kwani ukiangalia Washington DC, imekaa kama ni Mji Mkuu wa USA?
Nimepewa tetesi kuwa Rais Magufuli kakataa kuishi Dar na ameagiza kuhamishiwa Dodoma yalipo makao makuu ya nchi.
Mlio jikoni tupeni uhalisia wa hili.
Nilikuwa Washington D.C. wiki moja tu na nusu iliyopita.
Ndiyo, D.C. imekaa kama mji mkuu wa USA.
Nimeona wizara ya maji wanajenga ofisi mpya pale Ubungo badala ya kujenga DodomaNi kweli hata ya majengo marefu ya mawizara mbali mbali yatahamishiwa Dodoma.