Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

Kuhamia Dodoma sawa lakini izingatie uwezo halisi wa nchi.
 
Acha uongo mama Anna wa ACT ndie aliyewahi kuahidi kuhamia Dodoma kama angeshinda urais,na si huyo lowasa wenu.

Kweli kabisa! Hawa wanasema sasa kila kitu "hata Lowassa alipendekeza" you can't make up promises posthumously!
 
Wanaukawa mtampenda na kumfagilia kwa lipi?
Chuki yetu ilikuwa ubabaishaji wa serikali na chama chake-lakini kwa kasi hii YUMKINI tutaona usimaiaji wa dhati ktk kidogo tulichonacho,ewekezaji wenye tija na maisha bora yasiyotokana na ufisadi
 
Naunga mkono ahamie hukohuko watuache sisi tuchape kazi hapa, sio kila dakika ving'ora vig'ora ving'ora kusubiri viongozi wapite tunapotezeana muda bure wakati sehemu mbadala ipo wahamie tu huko dodoma.
 
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto

Hujabidilika hadi sasa, bado unadhani kampeni sinaendekea!!! Una mawazo ya kitoto. Utoe mapendekezo ni madiliko gani unasubiri, au ya kuzungusha mikono! Utalalama badala ya kufanya kazi kujenga familia yako na taifa lako.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Mwende huko mtupunguzie foleni kwenye hili jiji, maana nyie na misafara yenu inachangia foleni
Kweli mkuu, tutapumua. Halafu kuna wizara kama jinsia na watoto, michezo na utamaduni, wariri asiye na wizara na kama hizo angezitanguliza huko. Kuna wizara ni ngumu kuzihamisha mf. Wazara ya fedha nk.zibaki huku mjini.
 
Kweli mkuu, tutapumua. Halafu kuna wizara kama jinsia na watoto, michezo na utamaduni, wariri asiye na wizara na kama hizo angezitanguliza huko. Kuna wizara ni ngumu kuzihamisha mf. Wazara ya fedha nk.zibaki huku mjini.

wizara ya fedha no iwe ya kwanza kuondoka muda mwingi wako dodoma kwenye budget huko dar wanafanya nini? Jinsia na watoto ibaki dar huko ndo watoto wako wengi wengine wanashinda humu jf hawana kazi.
 
Pia kiusalama kwa upande wa Rais sio pazuri, magogoni pamekaa poa kiusalama kwani ni karibu na kiwanja kikubwa cha ndege na mahari pia hivyo prezida atakuwa salama zaidi hata ikitokea kama yaliyotaka kumkuta nkurunzinza

tizama pretoria abuja wagadugu sidney zote zipo katikati ya nchi, hapo dar nyambizi ya kimarekani inaweza mdaba akiwa kwa pajama, isitoshe dom ni karibu na chato weekend anaenda kuangalia ngombe zake.
 
Mwende huko mtupunguzie foleni kwenye hili jiji, maana nyie na misafara yenu inachangia foleni

naona hata zile flyover nikupoteza tu hela, waachane na huo mpango kwanza rais akiondoka dar patazubaa patakuwa kama ujiji.

Halafu mwakani mbabe mwenzie putin atampokelea mwanza wanaenda kupiga push up gurmet resort.
 
Naunga mkono ahamie hukohuko watuache sisi tuchape kazi hapa, sio kila dakika ving'ora vig'ora ving'ora kusubiri viongozi wapite tunapotezeana muda bure wakati sehemu mbadala ipo wahamie tu huko dodoma.

kwa sasa viongozi watakuwa wanapokelewa mwanza mtavimiss sana ving'ora.
 
Back
Top Bottom