Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Kama gazeti linavyosema hapo chini kwamba Wizara tano kuhamishiwa Dodoma Mji Mkuu hivyo ni dhahiri kabisa kwamba Magufuli wetu amedhamiria kwenda hatua KUBWA zaidi mbele kwenye hili swala la kuhamia Dodoma!
Safi sana Magufuli wetu, haya ndiyo maamuzi magumu!
![]()
Heading na Content haviendani
Wewe kweli ni Mbwa