Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 407
hahahaaa....anasogea polepole mwishowe chatooooo
hahahaaa....anasogea polepole mwishowe chatooooo
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
Bahati mbaya sana mimi sio mtu wa kufanyiwa kitu ili nifurahi, point yangu ni kwamba ajifunze ku-priotize issues, akae atulie ajipange sio kupayuka na ku seek public attention, hatuhitaji attention seeker. Issue ya Dodoma kama ni kweli itatugharimu sana hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho CCM imetuachia makovu makubwa hivi. Karibumkuu mlitaka afanye nini ili mfurahi?
wewe na Elli inaonekana mmeguswa kinyume kabisa na magufuli.
mkuu rais wetu amepayuka wapi?Bahati mbaya sana mimi sio mtu wa kufanyiwa kitu ili nifurahi, point yangu ni kwamba ajifunze ku-priotize issues, akae atulie ajipange sio kupayuka na ku seek public attention, hatuhitaji attention seeker. Issue ya Dodoma kama ni kweli itatugharimu sana hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho CCM imetuachia makovu makubwa hivi. Karibu
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
Una uhakika na ulichokiandika? Na kuwa katikati ya nchi kijiografia?
Nampa hongera kama ni kweli, lakini itakuwa ni mwendelezo wa kuigiliza aliyokuwa anayaamini Mheshimiwa Lowassa.
nahakika na ninaelewa vizuri. japo sababu za kuwa katikati ya mji ni mojawapo usalama ilikuwa factor kubwa. kuwa katikati kiuchumi si kweli sana kwa sababu bado Dar ingeendelea kutumika na gharama zingezidi tu!Una uhakika na ulichokiandika? Na kuwa katikati ya nchi kijiografia?
mkuu mlitaka afanye nini ili mfurahi?
wewe na Elli inaonekana mmeguswa kinyume kabisa na magufuli.